Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,730
- 2,230
Ushauri mzuri sana na wenye hekimaMadam umeokoka? Siyo vita vyote lazima upigane. Kuna comments hulazimiki kujibu. Puuzia.
Utaharibu mood na mumeo anakusoma. Utamfanya aanze kudoubt maamuzi yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha tu uduguu [emoji1787]
Na kunguruunatak kutulisha njiwa π¬π€£
Ndo ukweli sasaπ€£Lewis MVincent π£π£π£π£π£π£usinivunje mbavu mieπ€£π€£π€£π
π€£π€£π€£π€£Dah Bora tusikumbuke,maana aliesema kwake ni mwiko kuonana na mtu wa JF kwenye Maisha yake halisi.....Alinihuzunisha Sana ππ₯
Sitak hata kukumbuka
Toa tangazo Shemπππbado tangazo langu tu π π
Ndio Mfano wa wanaume wa humu ni wehuπ€―π€―π€―Juzi tu hapa ulkua huwezi kuishi bila yeye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daaaahhh JF hii[emoji119]
Na sasa hivi anaolewa na mwana jf sijui wataoana na kuishi kwenye server πππ€£π€£π€£π€£Dah Bora tusikumbuke,maana aliesema kwake ni mwiko kuonana na mtu wa JF kwenye Maisha yake halisi.....
Basi kwa vile wanakamati mmepitisha basi hakuna kitachoharibika.jambo lazima tulipitishe ndugu mhazini,,, hayo mengine tuwaombee tu kwa Munguπ€
Leo anakupenda kesho anakuja kukuumbuaNdio Mfano wa wanaume wa humu ni wehuπ€―π€―π€―
Wana JF mna majungu jamanπππNa sasa hivi anaolewa na mwana jf sijui wataoana na kuishi kwenye server ππ
Msamehe dada yakoπππNa sasa hivi anaolewa na mwana jf sijui wataoana na kuishi kwenye server ππ
Yaani sijui wamelogwa?L
Leo anakupenda kesho anakuja kukuumbua
Nilishamsamehe dadaMsamehe dada yakoπππ
Sio woteL
Leo anakupenda kesho anakuja kukuumbua
Mie Leo ndio nitasutwa kabisaaa na mdogo wanguπππIla kweli alidis Sana,Hadi nilimwambia asiseme hivyo Kuna watu wema na wabaya humuWana JF mna majungu jamanπππ