JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Mafunzo hayo yaliyofunguliwa na Jaji Adam Mambi, yaliendeshwa na Wataalamu wa Masuala ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi na kuhudhuriwa na Mahakimu Wakazi Wafawidhi kutoka Mikoa 29 na baadaye kufungwa na Msajili wa Mahakama ya Rufani, George Herbert.