Jamni mkiskia kuna nafasi ya kazi naombeni mnistue

Jamni mkiskia kuna nafasi ya kazi naombeni mnistue

NDIMU

Member
Joined
Oct 11, 2011
Posts
5
Reaction score
0
Mimi nimesomea mambo ya secretary na nimeshafanya kaz katika taasisi ya fedha nikawa kama cashier kwa miaka 3 na miaka 2 nilikuwa secretar so naujuzi wa miaka 5 katika kazi, computer naijua vizuri sana.
 
Mimi nimesomea mambo ya secretary na nimeshafanya kaz katika taasisi ya fedha nikawa kama cashier kwa miaka 3 na miaka 2 nilikuwa secretar so naujuzi wa miaka 5 katika kazi, computer naijua vizuri sana.

sawa ndio maana umeweza kujiunga na jf sasa nenda google kaandike recruitment utaona makampuni kibao ya udalali wa kazi..
pia karibu sana jamvini..
 
m nahitaj secretary... Nipm kwa mawasiliano zaid
 
Back
Top Bottom