Jana lisema hakutotokea riots kubwa ila viongozi watauliwa....

mulisaaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
6,969
Reaction score
7,027
Our Deputy Chief Agent Norman Magaya hospitalized at Nairobi Hosp. He suffered a heart attack after an altercation with Kimani Ichungwa. We suspect poisoning.
 
Kuna kubwa linarajia kutokea Kenya
Tuwaombee hawa wapenda sifa na Kutajwa tajwa kwenye Media
 
Dunia nzima inamuona! Tayari ashachukua maisha ya wafuasi wake wanne! Natumai atatembea mochuari kuongea na maiti zao pia!
 
Odinga pole musee

Wakikuyu hawataki kabisa kukusikia

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
kila kitu kinaunganishwa na elections....sasa swali ni hili, sababu kuna ya uchaguzi, watu wanaacha kufa? wanaacha kugonjeka? wakora wa kila siku wanakomesha oparesheni zao? eti ndio uchaguzi upite kwanza kisha mambo haya yaendelee? hehe...politricks!...mchezo mchafu...propaganda hizi..if you check well, this guy must have been sick even before the elections..
 
Kuna kubwa linarajia kutokea Kenya
Tuwaombee hawa wapenda sifa na Kutajwa tajwa kwenye Media
basi utasubiri mpaka uwe mzee na uingizwe kaburini...watu wa kutakia kenya mabaya...
 
Tabia ya kula githeri ya juzi! Unaona Joshua anavomtizama kutoka mbali? Anaogopa exhaust! Hehe!
 
Chuki ya ukabila na ubaguzi katika kugawana madaraka nizaidi ya sum ya polonium

Kenya kwasasa watauwana sana chini chini mpaka pale kila mmoja atampa heshima mwenzake inavostahili
 
Pole sana
Roho tatu zilisha ondoka mpaka saaa
watu wanakufa kote duniani...ila una upumbavu mwingi wa kutamani watu wafe kenya..sijui ww mchawi ila nakuarifu utakufa wewe hapo uzikwe kabla vita kama vya 2007 vionekane kenya tena...
 
watu wanakufa kote duniani...ila una upumbavu mwingi wa kutamani watu wafe kenya..sijui ww mchawi ila nakuarifu utakufa wewe hapo uzikwe kabla vita kama vya 2007 vionekane kenya tena...
Unatumia matope sio Akili
Hiyo 2007 Nani alio waua hao wakenya kama sio Upumbavu wenu wakenya wenyewe!!

Mnapenda kutajwa tajwa sana kwenye Media hata mambo yakijinga kwenu sifa tu
Kuisha uchaguzi Bila kuuana kwenu ni mwiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…