Jana nakohoa kwa kubanja msaada wa dawa!

G M S

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2011
Posts
502
Reaction score
53
Wakuu kikohoz changu ni kwa kubanja msaada plz dawa gani ntatumia nikapona haraka!
 
Mkuu, umecheki na mkojo wa punda?
kama unabanja tayari dalili ni nzuri, kuliko kingekuwa kikavu.
 
Kanunue mafuta ya habbat sauda kwa kingereza black seed oil ambayo ni pure tumia kijiko kimoja kwenye kikombe cha kahawa.. Ndani ya masaa 12 utapona ukiona bado kunywa tena.. Hii ndo dawa natumia mimi inanisaidia sana kwa kikohozi..mafuta ya habba soda unaweza kuyapat kwenye maduka ya dawa za kiarabu.. Haizidi buku 2 au 3..
 
Kubanja ni dalili ya kuwa na uchafu kwenye mapafu. Kama hupati homa, wacha ubanje na itastop irritation kwenye mapafu ikiwa expelled. Good luck.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…