Jana niliwashwa sana na majani pori

Mkuu nimecheka sana dah! Hahahahaha pole sana bila shaka ulitumia upupu Mkuu ila nimecheka aisee niko kwenye gari niliokuwa hawajui nacheka nini nao wameanza kucheka na kutaka niwaambie nini kimenichekesha kiasi hiki.

 
Mkuu nimecheka sana dah! Hahahahaha pole sana bila shaka ulitumia upupu Mkuu ila nimecheka aisee niko kwenye gari niliokuwa hawajui nacheka nini nao wameanza kucheka na kutaka niwaambie nini kimenichekesha kiasi hiki.
wahi nyumban bana shemela kalinde ndoa
 
Una moyo kwanza kutumia majani, si ungeweza kutumia lesso tu inatosha pia jitahidi ukiwa
Safarini jaribu kununua maji ya chupa, maji ni uhai na kwa afya ya kila kiumbe duniani
 
Mkuu nimecheka sana dah! Hahahahaha pole sana bila shaka ulitumia upupu Mkuu ila nimecheka aisee niko kwenye gari niliokuwa hawajui nacheka nini nao wameanza kucheka na kutaka niwaambie nini kimenichekesha kiasi hiki.
Kaka si ungewaambia tu kinachokuchekesha
 
Una moyo kwanza kutumia majani, si ungeweza kutumia lesso tu inatosha pia jitahidi ukiwa
Safarini jaribu kununua maji ya chupa, maji ni uhai na kwa afya ya kila kiumbe duniani
Sasa hiyo leso hana angefanyaje labda la kumshauri la kununua maji
 
Reactions: BAK
Husianisha na mada.

"He who sleeps with itching anus,wakes up with stinking fingers''.

You can prove me wrong.
 
Niliwaambia dadaake baada ya kumaliza kicheko changu cha hadi machozi kwani nilikuwa napiga picha kichwani kuona Mkuu MKWEPA KODI alivyokuwa akijaribu kuwa mvumilivu kwa tumbo kusumbua kisha uvumilivu ukamshinda baadaye kutumia upupu na kurudi kuendelea na safari huku muwasho mkali ukimtafuna ndani kwa ndani naye kujaribu kuwa mstahamilivu lakini pia akashindwa ikabidi aombe maji LoL! Hahahahaha. Kuna uzi humu wa watu waliokuwa wanasumbuliwa na matumbo wakati wako safarini, nao unachekesha sana.

Kaka si ungewaambia tu kinachokuchekesha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah.... where is love?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…