Jana nimeacha rasmi kununua dada poa

Mi nilijua umeacha kununua malaya kwa sababu walishawahi kukuibia

Acha tu mkuu kwemye utamu nimwpoteza vingi

Nilishaibiwa mara mbili sim dar na mwanza yani najua wale walinichora tu
Kuibiwa lazima ningeibiwa tu na zote sim zilikua za machaguo yangu ziliuma sana pale jirani na micasa ya riverside upande wa pili kuna lodge ya ka ghorofa pale nilichapwa sim kwa mazingira tatanishi sana

Ila ukikaa unawaza tena unaita mwingine
 
Atupe ABC za kutosha maana kwa maelezo yake nimepatwa na wasiwasi huenda Demu wangu yupo huko nimnunue[emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

Magroup yako mengi sana
Kuna madalali madem wanaouza yaani picha za uchi na mi video ya uchi wakinadi baishara zao juu ya huduma ipi wanatoa location walizopo na bei zao zaidi wanunuzi ndio wengi kwahiyo unaweza kuta group lina watu 5k au 10k

Kule ni zaidi ya sodoma na gomora manake na wanaume wanauza vinyeo kule yaani ni hatari tu na tatizo kwenye hatari ndio kuna utam mkuu yaani shetani anatukamata bila kutumia nguvu kama vile unavyokamata kuku mgonjwa[emoji3][emoji3]
 
TANGAZO

CHAMA CHA WANUNUZI WA MADEMU NA MAENDELEO YA PAPUCHI ,

OFISI YA MKURUGENZI WA NYEGE

MBUSUSU ROAD,

S.L.P 66

KUMBK NO : 4327688865

YAH: MAJIBU WITO WA KUJITOA KWENYE KUNUNUA CHIPSI FUNGA

Husika na mada tajwa hapo juu kama ilivyo kanuni na ibara ya sita mwana chama yeyote anayetaka kuacha kununua papuchi itabidi apate likizo ya mwezi ili kufikiria maamuzi yake

Pia chama kingependa kuwaambia kinaendelea kupigania swala la mfumuko wa bei wa papuchi na kingependa wakereketwa kuendelea kutoa info za machimbo



Kunguru wa Manzese

Mkurugenzi ofisi ya nyege

K.M
 

Kaka samahani sana hiyo barua sipokei
Kwanini mnanishawishi et nitafakari mwezi mzima[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kaka samahani sana hiyo barua sipokei
Kwanini mnanishawishi et nitafakari mwezi mzima[emoji28][emoji28][emoji28]
Hushawahi fika Chimbo kuna vyura kama wote ? we acha tu mkuu naona mapema sana kwako kufanya maamuzi
 
Kwa mtu anaependa hao dada poa na ana pesa hawezi kwepa hayo uliyosema mkuu, ni kweli kabisa unaweza kuyafanya.

Na hasa usiwe na mpenzi, hakuna kuwaza kuhusu mapenzk wew ni kuchakata tu.

Sex is cheap
 
KUNUNUA KUSKIE KWA WATU TU,
HII KITU INA ADDICTION MBAYA SANA.

Kiukweli ukishazoea hawa wa kununua, Hawa wa mitaani huwez kuwaenjoy.

Na utawachukulia wanaotembea Hawa wanawake wa kawaida mitaani Kama walemavu flan na Kuna vitu flani adimu wanavikosa.
Kumbe Ni kujiendekeza TU.

Binafs nmeanza kununua nikiwa na miaka 19 mpk nafikisha 30.
(Kwenye 22-24 hapo Ndo ilikua balaa Maana Hadi video nilikua najirekodi na nyingine narekodiwa natupia mtandaon mmoja pendwa Sana, mpk leo zipo)

Nilipooa,
Kwa heshima ya wife nikapunguza ila kwa nadra Sana nikawa nanunua kwa mgongo wa kwenda kunyoa saloon zile zinazotow huduma za massage.

Nilipompata Mchepuko Wangu mama J Ndo kabsaaa nmesahau Mambo ayo ya kununua.

Nikupongeze sana kwa kutandika daruga.

Binafs nafikiria kuleta ushuhuda Wangu hapa Siku nami ntakapostaafu rasmi Kama Wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…