Jana nimeacha rasmi kununua dada poa

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee
 
Hongera Mungu akusaidie, umebakiza tu kuokoka tujiandae na safari ya kwenda Mbinguni.

Ukaonane na mjuba Rutu na msela wake Nuhu walioona ufuska na ufirauni zaidi ya sisi

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Mkuu nimeshaongoka nitaokoka nikishafika mbinguni
 
[emoji1]wanasemaga unachokifanya kinakurudia kwenye kizazi chako km sio wew Basi mkeo ama kwa watoto ikishindikana hta kwa wajukuuzako [emoji23][emoji23]mkae mkao wa kusubir majibu [emoji1787][emoji1787]

Acha kunitishaaaa
 
Pole kaka kwa kuugua Kisonono, Kaswende, Clamidia, na Herpes hakika wewe ni Jasir endelea kupiga Mkwaju mpk kieleweke

Sijawajahi ugua hata moja wapo hapo nilikua makini sana

Vipi yule sponsor aliekupa gari na nyumba ukmzawadia 0713 yupo?
 
Q
Usinitisheeeeee mkuu
Nimeshalia kwa Mungu wangu kwaresma hii nafanya toba ya kina

Mungu sio wa hasira kiasi hicho kama wewe Pl

Dhambi itasamehewa. Ila it will always leave a scar, and the scar will stay forever.

Huwezi kuwa Sawa n mtu ambay hajawahi fanya huo ujinga
 
Wanawake wengi wanajuiza kwa sasa. Wakiingia ktk ndoa utasikia wanaume wanyanyasaji wakatili hawatoi hela za matumizi kumbe keshazoea uchafu wa kujiuza anavunja ndoa anarudi tabia yake ya kujiuza.
 
weka na picha zao chaputa tuchukue points muhimu
 
Nasubili uo ushuuda kaka mkubwa nakubal sana nyuzi zako[emoji16]
 
Pole kwa uchovu mkubwa uloupata
Pole kwa kushindana na mahala ulipotoka
Anyway pongez nying kwako baada ya kuamua kuiacha dhambi hiyo na ujinga huo. Mungu akujalie sasa usijerud huko tena
 
Pole kwa uchovu mkubwa uloupata
Pole kwa kushindana na mahala ulipotoka
Anyway pongez nying kwako baada ya kuamua kuiacha dhambi hiyo na ujinga huo. Mungu akujalie sasa usijerud huko tena
 
Kinachokatisha tamaa Ni hicho,
Kwa wenzetu wanavipimo vikali Sana, ukishapima unaloweka TU[emoji4]
Kupima kwanza na baadae ndo unatumia hii style nzur sana,unaifaidi kitu haswa,shida inayobak ni mimba tu

Kabla sjaoa nilikuwa nafata utaratibu huo ingawaje nilkutana na changamoto moja ambayo ni kuwa wanawake wengi wanapenda penda kuzaa kama mifugo hata ukimwambia kuwa nataka tuwe na mahusiano ya kufurahisha miili yetu bado utashtukia limtu limeshika ujauzito
 
M
[emoji24]
Yote nimefanya mpaka sioni jipya tena
Chakushangaza utataka kuoa bikira , [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24], Usipokuwa makini mkeo atakushinda kumuhudumia ulishazoe hao wakunadilisha kila siku, miaka 50 utakuwa hoi mkeo atakuwa anachepuka tu jiandaye kisaikorojia tu
 
M
[emoji24]Chakushangaza utataka kuoa bikira , [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24], Usipokuwa makini mkeo atakushinda kumuhudumia ulishazoe hao wakunadilisha kila siku, miaka 50 utakuwa hoi mkeo atakuwa anachepuka tu jiandaye kisaikorojia tu
Wanawake na dua zenu za kuku


Mimi na mjomba wangu tulikuwa wanunuaji wa kudumu tu mi toka niko sekondari mjomba toka hajaoa anaishi kwa mama ake (bibi yangu)

Mi nilikuja kuacha nilivyomaliza chuo na kuingia kitaa mjomba hajaacha na mpka sahivi ana mke sema aunt hajui na ana mji wake tena ndoa yake imenyooka iko vizuri iko stable bado ananunua tena huwa anasemaga dogo umeniachia mwenyewe siku hizi

Na hii story si ya kutunga haki ya nani vile
 
Shetan alivyo wa ajabu na wa hovyo unakuta mtu kama mtoa post kaupona ukimwi, lkn yule mpuuzi mmoja aliyekuwa akijaribu kwa mara ya kwanza kwa Ashura akaupata na kusingiziwa mimba juu[emoji23][emoji23].

Anyway kuna watu mliumbwa kuja kuwa wa mifano duniani...all in all kazi njema aisee, umeona kila sample za vipochi manyoya [emoji23][emoji23][emoji23].

Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
 
We jamaa nilitaka nishangae hujapitia haya mambo[emoji23][emoji23]..dadekii kuna watu mtakuwa wa mifano kule kuzimu

Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…