Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
-
- #21
Daah sie wengine kwanza mavazi yetu tuu ni soo
Aah mkuu me nshazoea pescana ujue naona kutamka pestana sijui inakuwaje?? 😂😂Ni Pestana!
Unajua nini mtoto wa mama Wewe?? hujawahi hata kukaa sentro lisaa tuu
Hahahahaha nitake radhi mkuuPole sana Dj K Vant
Hahahahaha[emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]
Haya yote ni maisha ipo siku yatakwisha leo mja ninahangaika mambo yamebadilika....
Hahahahaha dah noma hiiMimi huwa natembea kwenye begi na nguo za mazoezi ikitokea naelekea sehemu usiku sana navaa zile nguo na kuanza kikumbia kama mfanya mazoezi. Kumbe ndiyo safari imeanza hivyo.
Huwa nakutana nao sana ila nawaambia niko mazoezini wakuu.
Hahahahaha dah noma hii
Kweli kabisa mkuu ukizubaa watakupotezaHawa watu ni kama wanawake, inatakiwa uishi nao kwa akili sana.