Mambo ya fedha mkuu, angekuwa kule kwetu Kwamtogole anaitwa angekuwa kibibi.Juu ya Janet kuwa 50 ila bado ana baby face
Kina james delicious hua hamzaiHuyu najuaa atakuwa role model wa wema sepetu
Single mother halafu hana mtoto? hiki ni kingereza cha Ras Simba au umejifunza wapi? Unajuwa maana ya Mother?Wengne huku mtaani wanashusha tu machoz single mother 30+ kwa kukosa mtt plus ndoa
Single mother halafu hana mtoto? hiki ni kingereza cha Ras Simba au umejifunza wapi? Unajuwa maana ya Mother?
Single mother halafu hana mtoto? hiki ni kingereza cha Ras Simba au umejifunza wapi? Unajuwa maana ya Mother?
Juu ya Janet kuwa 50 ila bado ana baby face
Mkuu husijemfanya mwanao ategemee kusoma mpaka chuo ndio aanze maisha.....mjenge mwanao kiasi kwamba hata kama anasoma lakini mpaka anafika 20yrs anakua anauwezo wakusimamia familia na biashara zikaenda vema hili walau akifika 26 upate mjukuu na yeye hawe anajitegemea.Kwa sie maskini kuzaa katika umri huo ni kumpa mateso tu mtoto. We fikiria huyo mtoto akifikisha miaka 20 tayari mzazi una 70, hapo mtoto kama hajarudia darasa atakuwa anamaliza kidato cha nne. Sasa kibongo bongo una miaka 70 halafu bado unasomesha ni mtihani sana labda kama umeshawekeza angalau mijengo ili aweze kusoma kwa kodi za wapangaji
Mleta mada fafanua kidogo, alipata ujauzito kwa mfumo wa kawaida wa kujamiana na kubeba mimba au ilipandikizwa na madaktari na jee hakuna na "complication" zozote wakati wa ujauzito? Nauliza maana nina dada zangu wa imani umri umeenda na wana uhaba wa watoto mwingi mmoja wengine sifuri kabisaHatimaye Wissam al mana na mkewe janet jackson mwenye umri wa miaka 50 wamefanikiwa kupata mtoto wa kiume Eissa al mana mnamo januari 03 mwaka 2017. Kwa janet jackson huyu ndio mtoto wake wa kwanza.
Dada yangu na kaka yangu unaeona umefika miaka 30 na haujapata mtoto nakushauri husife moyo. Vumilia utapata mtoto wako tu.
Janet Jackson's Family Celebrates Her Baby: See Their Messages
Nakubaliana na hoja yako lakini baba wa bongo maisha yake yote ameajiriwa, ataweza kweli kumfanya mwanae awe mfanyabiashara? At 70 unaanza kusumbuana na mtoto wa miaka 20 umfundishe biasharaMkuu husijemfanya mwanao ategemee kusoma mpaka chuo ndio aanze maisha.....mjenge mwanao kiasi kwamba hata kama anasoma lakini mpaka anafika 20yrs anakua anauwezo wakusimamia familia na biashara zikaenda vema hili walau akifika 26 upate mjukuu na yeye hawe anajitegemea.
Mkuu kwan kupata ujauzito kwa miaka 50 ni ajabu?, huku kwetu kuna mama alipata mtoto wa mwisho akiwa na52yrs, but kwa kukuelewesha zaidi menopause ni kati ya 45-55 hiyo range ya miaka kwa hiyo inategemeana na mwanamke ataingia kwenye age ipi hapo juu.Mleta mada fafanua kidogo, alipata ujauzito kwa mfumo wa kawaida wa kujamiana na kubeba mimba au ilipandikizwa na madaktari na jee hakuna na "complication" zozote wakati wa ujauzito? Nauliza maana nina dada zangu wa imani umri umeenda na wana uhaba wa watoto mwingi mmoja wengine sifuri kabisa