Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndio pale mkiambiwa bado mnahitaji kurudi utumwani angalao kwa miongo mitano ili akili iwakae sawa mnabisha na chawa kwakuwa wanakula wanashiba wanazidi kuona maisha wameyapatia,huku huduma za msingi zikisahauliwa kwa jamii,ila uongozi wamejimilikisha na hawataki changamoto mpya.1. Vifaa vya uokozi na magari ya kifahari, vipi ghali? Na muhimu?
2. Watu wamekufa, baadhi bado wamekwama. Kwann tusiomboleze Kwa kupepea Bendera nusu mlingoti.
Sema pia sisi chatwawala hatuhitaji kingine maisha tulishayapatia na hamtaki kusikia matatizo kwani yanawasumbua.Wanaume wa dar mmeanza kulia lia .ajali ya morogoro wali peperusha nusu mlingoti ? Ajali ya meli kule ukala ? Hii nchi niya ovyo