Janga la Kariakoo limeendelea kuthibitisha udhaifu wa serikali kwenye majanga ya ghafla

Janga la Kariakoo limeendelea kuthibitisha udhaifu wa serikali kwenye majanga ya ghafla

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Kwanza,

Usimamizi wa ujenzi kariakoo ni mbovu, wakinga, wachaga, waha, wapemba wanajenga hovyo majengo marefu tena mengine bila hata uzio bado ni hatari.

Uokoaji kwenye majanga kama hayo kwa nchi yetu ni mbovu tukianza na meli ziwa Victoria, tukaja ajali ya treni, kivuko kule nansio, ndege bukoba, na hili la kariakoo, kwa uchache udhaifu bado ni uleule siku zote.

Inabidi kazi ya ziada ifanyike ili Hali iimarike na vikosi vipewe vifaa maalumu vya uokoaji na mafunzo lakini pia vikosi vyetu viwe na mafunzo ya ushirikiano mara kwa mara dhidi ya majanga tofauti tofauti.
 
Kuna msemo unasema.
Likitokea lolote basi situation itaamua.
Kama kukokota ndege kwa kamba
Kushindwa kuokoa watu waliofunikwa na kivuko huko ukara wakati kinaonekana kabisa
 
Utasikia TUNAUNDA TUME YA UCHUNGUZI ha ha ha a a a majibu ya TUME wanapewa wao na wao hawatup ss ,, ss TUNA FAIDA IP NA HII TUME YA UCHUNGUZI??
 
Mwenyekiti wa soko anamshukuru samia kwa kuokoa watu, kwahy mnapingana na mwenyekiti? 😂
Hivi huyu mama kawaroga.. nimemsikia na mwanaFA nasema ushindi wa taifa stars anamshukuru mama..
Aisee tumerogwa?!
IMG-20241007-WA0000.jpg
 
Utasikia TUNAUNDA TUME YA UCHUNGUZI ha ha ha a a a majibu ya TUME wanapewa wao na wao hawatup ss ,, ss TUNA FAIDA IP NA HII TUME YA UCHUNGUZI??
Watu wa time tu bila kushughulikia mapendekezo ya tume.
Wakati Lowassa akiwa waziri mkuu kuna jengo lilianguka wakaunda tume, hatujaona matokeo chanya baada ya kushughulikia mapendekezo ya tume.
 
Kwanza
Usimamizi wa ujenzi kariakoo ni mbovu , wakinga , wachaga, waha, wapemba wanajenga hovyo majengo marefu tena mengine bila hata uzio bado ni hatari,
Uokoaji kwenye majanga kama hayo kwa nchi yetu ni mbovu tukianza na meli ziwa Victoria, tukaja ajali ya treni, kivuko kule nansio , ndege bukoba, na hili la kariakoo, kwa uchache udhaifu bado ni uleule siku zote
Inabidi kazi ya ziada ifanyike ili Hali iimarike na vikosi vipewe vifaa maalumu vya uokoaji na mafunzo lakini pia vikosi vyetu viwe na mafunzo ya ushirikiano mara kwa mara dhidi ya majanga tofauti tofauti,
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Ukweli mchungu mtu mweusi ni hajakamilika
 
Kwanza,

Usimamizi wa ujenzi kariakoo ni mbovu, wakinga, wachaga, waha, wapemba wanajenga hovyo majengo marefu tena mengine bila hata uzio bado ni hatari.

Uokoaji kwenye majanga kama hayo kwa nchi yetu ni mbovu tukianza na meli ziwa Victoria, tukaja ajali ya treni, kivuko kule nansio, ndege bukoba, na hili la kariakoo, kwa uchache udhaifu bado ni uleule siku zote.

Inabidi kazi ya ziada ifanyike ili Hali iimarike na vikosi vipewe vifaa maalumu vya uokoaji na mafunzo lakini pia vikosi vyetu viwe na mafunzo ya ushirikiano mara kwa mara dhidi ya majanga tofauti tofauti.
 
Back
Top Bottom