Little Angel
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 1,212
- 373
Jamani!!! hii hali ya Obesity hapa Tanzania serekali yetu wanaliona na wanaelewa athari zake na harama zake?huhitaji
Rocket Science kuliona hilo.humjuwi nani mja mzito kati ya wananchi si wanaume si wanawake na wala sio watoto hali inatishia.
Unajua kuna ka-ushamba fulani ambako watu wengi tena wa kada zote yani wasomi na wasio wasomi wanakaamini kuwa kitambi au unene au kufuga minyama uzembe ni sign ya kuonyesha kuwa mambo yako ni safi,kinachoniudhi mimi zaidi ni mtu anapolisha mtoto(overfeed) ili iwe ni kiashirio kuwa mzazi mambo yake yamenyooka wakati anasahau kuwa anamsababishia madhara makubwa baadaye.
Mnaionea tu Serikali. Wewe mtu kuwa mnene kupita kiasi au kuwa na mitambi hujui madhara yake. Tena cha kushangaza hata madaktari wengine wana matatizo hayo
mmenipa moyo mi ninayeitwa mfupa na ngozi