Janga linalo weza epukika

Janga linalo weza epukika

Angyelile99

Member
Joined
Oct 9, 2023
Posts
89
Reaction score
164
we need to know that. haitakiwi kutukana ukiwa kama mtu unae reply alicho andika mtu kwa kauri ngumu. wala wewe ulie andika hicho kitu hautakiwi kurudishia comment ya mtu kwa maneno makali. emu tujaribu kutumia majukwaa haya yaliyopo JamiiForums kuonesha utashi wetu wa kufikiria juu ya namna gani tunaweza kua sehemu ya wachangiaji wa kutatua matatizo ya kijamii.

Mimi binafsi naweza sema tunahaja ya kutoka nafasi kwa watu wengine wenye uwezo wa kisiasa kutoka kwa vyama vingine tuone pia ni kwa namna gani wao wanaweza solve tatizo hili la ajira kwa vijana. ukweli ni kwamba uchache wa ajira haupogi kabisa nchini kwetu isipo kua, mifumo ya matumizi ya rasilimali fedha kwa watumishi wa serikali na serikali kwa ujumla kwa baadhi ya sekta ndio chanzo cha ukosefu wa ajira kwa vijana wengi nchini.

Chukulia tu nchi hii ya Tanzania moja ya nchi ndogo sana duniani, lakini cha ajabu ni kwamba ofisi ya raisi OR-TAMISEMI inabajeti ya takribani tirioni 8 na points kwa mwaka wakati huo inakuja hivyo, ni matokeo mabovu ya mifumo ya kiutawala na malipo kwa watumishi.

Emagine mtu mmoja analipwa laki 2 kwa kila kikao atakacho kaa. wakati huo huo ameakikishiwa nyumba bure, gari bule, na mshahara wa mil 10 kila mwezi. kila atakae enda kushika nchi anaanza kwanza na sekta ya ulinzi kwa kuwapandishia mishahara maafisa( sasa kama wao wapo pale kwa uzarendo hili jambo ni la nini) huku ni kuto kujiamini kwa viongozi na ni rushwa moja wapo.

Mkuu wa mkoa mil 6 kila mwezi na anapewa kila kitu. mkurugenzi mkoa mil 4 na anapewa kila kitu. tukiachana na haya ya malipo. tunaraisi. makamu: waziri mkuu: naibu wake: mawaziri: wakuu watendaji wa ofisi zao: tuje ngazi za mikoa.

Mkuu wa mkoa: Mkurugenzi mkoa: mkurugenzi wilaya: mkuu wa wilaya Mbeya wa jiji: wabunge Hawa wote ni waratibu wa mkoa. na wanalipwa vizuri mnoo, sasa hii mifumo tuliyo iweka ndio inafanya kiwango kikubwa cha pesa kuelekea huku na tanashindwa Kua na bajeti za uhakika kwenye maneno mengine kama katika sekta ya elimu na afya.
 
Yan ungezaliwa na mzazi mwenye hizo nafasi usingekuja hapa jf kulia lia.
Najua hizi ni moja ya athari ya kutafuta kwa mda mrefu bila kupata(umasikini), si kila jambo linaitaji mabadiliko mengine yapo ili kutubadilisha sisi, kwanzia sasa ishi ukiamini hakuna mwanasiasa atakaekunafaisha kwa lolote, juhudi zako ndizo zitakazokulipa na sio maslahi ya viongozi.
Nafahamu unaroho ya kizalendo kwenye nchi ambayo inaamini uzalendo ni kosa la jinai, huwezi kubadilisha hilo.
Ukitaka kuendesha gari lazima uwe ndani, ukiwa nje utaendeshwa, kwasasa upo nje ya serikali kubali kubuluzwa mpaka pale utakapopata hiyo nafasi.
 
Yan ungezaliwa na mzazi mwenye hizo nafasi usingekuja hapa jf kulia lia.
Najua hizi ni moja ya athari ya kutafuta kwa mda mrefu bila kupata(umasikini), si kila jambo linaitaji mabadiliko mengine yapo ili kutubadilisha sisi, kwanzia sasa ishi ukiamini hakuna mwanasiasa atakaekunafaisha kwa lolote, juhudi zako ndizo zitakazokulipa na sio maslahi ya viongozi.
Nafahamu unaroho ya kizalendo kwenye nchi ambayo inaamini uzalendo ni kosa la jinai, huwezi kubadilisha hilo.
Ukitaka kuendesha gari lazima uwe ndani, ukiwa nje utaendeshwa, kwasasa upo nje ya serikali kubali kubuluzwa mpaka pale utakapopata hiyo nafasi.
Tukubali kuburuzwa,. Lakini inapaswa tuishi hivyo? Hata Kama mtu akizifumania pesa alafu asikie watu wanalia maisha magumu huwa anaona Kama wanampotezea muda Hadi pale pesa zikiisha.

Kikubwa Ni kuongea na kuchukua action wakati wa uchaguzi ili kumpata kiongozi bora
 
Tukubali kuburuzwa,. Lakini inapaswa tuishi hivyo? Hata Kama mtu akizifumania pesa alafu asikie watu wanalia maisha magumu huwa anaona Kama wanampotezea muda Hadi pale pesa zikiisha.

Kikubwa Ni kuongea na kuchukua action wakati wa uchaguzi ili kumpata kiongozi bora
Ngoja tusubr mana mpka sasa upinzani wana 60% ya kuchukua gari, pengine watakuja na sera mpya
 
Yan ungezaliwa na mzazi mwenye hizo nafasi usingekuja hapa jf kulia lia.
Najua hizi ni moja ya athari ya kutafuta kwa mda mrefu bila kupata(umasikini), si kila jambo linaitaji mabadiliko mengine yapo ili kutubadilisha sisi, kwanzia sasa ishi ukiamini hakuna mwanasiasa atakaekunafaisha kwa lolote, juhudi zako ndizo zitakazokulipa na sio maslahi ya viongozi.
Nafahamu unaroho ya kizalendo kwenye nchi ambayo inaamini uzalendo ni kosa la jinai, huwezi kubadilisha hilo.
Ukitaka kuendesha gari lazima uwe ndani, ukiwa nje utaendeshwa, kwasasa upo nje ya serikali kubali kubuluzwa mpaka pale utakapopata hiyo nafasi.
ni kwel mybe. ndio maana wakati mungu anaumba mamba ,Aliona ni vyema kukawa na kenge. ambao ukishindwa kuturiza kichwa. basi wote utajua ni mamba
 
ni kwel mybe. ndio maana wakati mungu anaumba mamba ,Aliona ni vyema kukawa na kenge. ambao ukishindwa kuturiza kichwa. basi wote utajua ni mamba
cha msingi ukifahamu hilo, ujue kabisa wewe ni nani kenge au mamba, ili ukimuona kenge au mamba ujue jukumu lako. By the way hata hao wangelipwa ujira mdogo isingekufaidisha chochote if you r not doing anything for your economics, the world is not for the weaks.
Mbona licha ya hizi nepotism, political favaritism, bado watu wana-make money out of politics, so both we have equal chaances to change our own lives. Umsimlaumu mtu kuwa yeye ndie sababu ya wewe kutokufanikiwa, maisha mazuri ni juhudi binafsi. Hata ungepewa nchi inayotoa pesa kama maji, kama kichwani mwako hamna kitu still usingefanya kitu.
"Tusiwalaumu watu kuwa wao ndio sababu ya sisi kutokuendelea, tujilaumu sisi kwa kujua hilo na hatufanyi bidii kuleta mabadiliko"
 
Back
Top Bottom