Huyu dogo kuna kipindi kichwa yake ina hoji vitu vya ukweli sana. Ni kweli serikali yetu inafanya mzaha na umeme, haijui kila kitu siku hizi ni umeme, ona jinsi serikali ilivyopata hasara ya mabillion katika siku hizi ambao umeme ni karibu 16hrs mgao. Big up Makamba.