mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mbona bei ipo juu sana
Yaani ni mtu wa hovyo kabisa huyu kiparaKuhusu bei kipara hajasema?
Makamba kumpa wizara nyeti kama hii ni kumuonea bure bora apelekwe sanaa na utamaduniJamani tumsikilize nani sasa kila kukicha ni matamko tu. Nikajua Waziri sasa wewe unakuja kumaliza utata lkn umeishia tu kusema Mafuta yapo yakutosha basi, badala yakumalizia tu sentesi kuwa bei ya mafuta nii..........tujue.
Mnajifanya hamjui concern ya WANANCHI sio uwingi au uchache wa mafuta...Bali ni Bei yake ndio ilifanya Jana baadhi ya watu kujazana vituoni kuhitaji mafuta yakiwa ktk Bei Ile ya Kabla ya kupanda leo.
Ukimuuliza anaelimu gani utasikia Nina masters zaidi ya Moja hivi hizi elimu zenu Zina tusaidia vp wananchi hasa kwa nyinyi tulio wapa mamlaka ? Wananchi Wana lalamikia mfumuko wa bei wewe unakuja na hoja za uhaba wa mafuta namashaka na darasa lake sio Bure aisee.
aliyeshiba......Serikali kupitia Wizara ya Nishati imesema mpaka sasa Tanzania haina Uhaba wa Mafuta, hivyo hakuna Sababu ya Watanzania kuwa na Taharuki ya Ukosefu wa Nishati hiyo Muhimu.
Kauli hiyo imetolewa Jijini Dar es Salaam na Waziri wa Nishati, Januari Makamba katika mkutano wake na Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta hapa nchini.
Waziri Makamba amesema hakuna sababu kwa Wananchi kuwa na Taharuki ya Uhaba wa Mafuta kwa sababu bado ipo shehena ya kutosha ya Mafuta Kwenye Maghala yaliyopo na yale ambayo yanashushwa Bandarini.
"Hadi kufikia leo tunayo mafuta ya kutosha kutumika kwa takribani Siku 27, pia Serikali imeshaagiza mafuta yatayotumika Mwezi wa tano na wa sita ambayo yapo kwenye Mchakato," amesema Waziri wa Nishati January Makamba.
Source: Wasafi FM
Bei inapangwa na wenye mafuta yao huko duniani!Kuhusu bei kipara hajasema?
Tozo nyingi kwenda mafuta ni kutokana na Serikali kukosa vyanzo reliable vya kukusanya basi ili wapate fedha kiurahisi wanakimbilia kuweka tozo hizo.Issue sio uhaba.. Tuna taka serikali oone jinsi ya kuzuia bei isipande. Ondoeni tozo kwenye mafuta,
Sitisheni makato ya REA, sitisheni makato ya EWURA, serikali wekeni ruzuku kwenye mafuta ya magari na mafuta ya kula. Bei za vitu zitashuka. Hatutaki siasa kwenye maisha yetu.
Kama hamkusoma uchumi vyuoni, pigeni chabo Kenya wamefanyaje kwenye mafuta.. Sii kutuambia vitu bita panda bei. Rais ana takiwa kuwa mfariji wa Taifa na sio kututisha.
Unadhani hayo malalamiko ya wananchi yeye hayajui?Jamani tumsikilize nani sasa kila kukicha ni matamko tu. Nikajua Waziri sasa wewe unakuja kumaliza utata lkn umeishia tu kusema Mafuta yapo yakutosha basi, badala yakumalizia tu sentesi kuwa bei ya mafuta nii..........tujue.
Mnajifanya hamjui concern ya WANANCHI sio uwingi au uchache wa mafuta...Bali ni Bei yake ndio ilifanya Jana baadhi ya watu kujazana vituoni kuhitaji mafuta yakiwa ktk Bei Ile ya Kabla ya kupanda leo.
Ukimuuliza anaelimu gani utasikia Nina masters zaidi ya Moja hivi hizi elimu zenu Zina tusaidia vp wananchi hasa kwa nyinyi tulio wapa mamlaka ? Wananchi Wana lalamikia mfumuko wa bei wewe unakuja na hoja za uhaba wa mafuta namashaka na darasa lake sio Bure aisee.
Kimemshinda nini kuunganisha majibu ya hoja zote mbili? Uhaba na Bei?Mi naona Mhe. amefanya sawa tu kutoa tamko maana kulikuwa na tetesi kuwa mafuta nchini yapo machache na nchi inaenda kukosa mafuta...Hii ni ishu tofauti na ishu ya kupanda kwa bei. Hapa alikuwa anajaribu kuwatoa watu katika taharuki ya uhaba kwanza sio bei.
Tozo nyingi kwenda mafuta ni kutokana na Serikali kukosa vyanzo reliable vya kukusanya basi ili wapate fedha kiurahisi wanakimbilia kuweka tozo hizo.
Tanzania tutafute kiongozi atakaye tengeneza uchumi kwa kuongeza shughuli za uzalishaji,watu wazalishe kodi zipatikane haya ya kutegemea tozo za mafuta ya importation ni kuendelea kuua Uchumi wa Nchi.