January hii nguo zinaenda kwa fundi Aiseee

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Kwa macho yangu ya haraka haraka tu leo hii hapa nje nikisubiri mzigo wangu utie timu nimekutana na washkaji kama sita na wanaume wa makamo kama watatu hivi wakiwa njiani kuelekea kwa fundi hapo tu jirani kupunguza nguo zao hakika nimejiuliza sana tatizo liko wapi?

ina maana january ndio imeanza kufanya kazi yake ? Lile pilau la X_mass na mwaka mpya halijawanenepesha mwili?

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hakika january acha iitwe january we Salute you mr January.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Noma kabisa jana nimepishana na mdada mmoja hivi anaelekea shuleni kwa dogo kulipa ada, nikampa hiii!! Gafla nikasikia akisema aisee nipe dk tano tu nakuja tuongee[emoji1] [emoji1] [emoji1] sijui aliwaza nin kwa kweli. January hii haijawai kumwacha mtu salama hakika.

Smart guy
 
Ndiyo Mimi dah! Yaani tabu ukinikuta nimepungua hapo ujue nina kitu cha maana kuanzia kwenye account hadi home

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi mwenyewe nlikuwaga hivyo,nkienda boarding tukirudi wenzangu wamekongoroka mie nna kitambi.Solution ni kubadilisha ulaji.Ukiwa kwenye hali inayokufanya kula kula kila mara chakufanya ni kula vyaula vidogo vidogo ambavyo havinenepeshi badala ya kula heavy meals.Mfano nkiwa na njaa badala ya kuagiza chipsi zege nakula karanga za kukaanga,ama korosho ama matunda na mwili unakuwa tayari usharejista kuwa nimekula

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3] Aiseeeeer njaanuary ni nomaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…