January kwenye Power Breakfast: Aelezea tatizo la Mgao wa Umeme


Binafsi navutiwa na jitihada za January na inaniwia ngumu kuamini kwamba yupo kutetea maslahi ya wachache, tumuunge mkono kijana mwenzetu kwa maslahi ya Taifa letu Tanzania
 
"KWA WALIYO MARAFIKI ZA HUYU SHUJAA WETU, BASI HII NDIO STATUS YAKE SASA HIVI


Lisa M Rockefeller The So Called Ernesto Sheka's real name is January Makamba, is the one apparently threatening me. Let's see if he will ever set his feet in the American soil, this is nothing but an act of terrorism, I agree now, Kikwete is a Joke to hire people like these"



Hiyo Vipi Hawajamuuliza?



Ukweli kuhusu ugomvi wa January Makamba na Lisa Rockefeller


Kuna rafiki yangu lawyer kwenye NGO moja hapa NY ambayo yule dada Lisa Rockefeller ni board member, amenidokeza kuhusu issue ya huyu dada na yule kijana wa Bumbuli – January Makamba. Hii issue imemkera sana huyu dada na anaichukulia serious sana. January na Lisa walikuwa na uhusiano mzuri sana ambao ulishamiri zaidi wakati alipokuwa Marekani kwenye safari na JK ya kuonana na investors na donors. Lisa pia ndiye aliye-organize na rafiki yake wa “The Economist” kuandika ile piece ya January Makamba ambayo ilikuwa na objective ya kumsaidia kukuza profile yake kwenye kampeni. Kwa Lisa, January alionekana ni mtu progressive anayependa maendeleo na quite possibly future leader wa Tanzania. Wakati Lisa alipokuja Tanzania mara ya mwisho akakuta mradi aliotolea hela nyingi kule Mbeya haujafanyika, wakati alipewa guarantee na rafiki yake January kuwa hela hiyo itatumiwa kwenye huo mradi, alikuja juu na kudai accountability. January apparently akamjia juu na kumtishia kuwa yuko Bongo asilete ukoloni wa Kimarekani. Apparently, alimpa threats nyingi zaidi na kwa sababu ya hizo threats dada Lisa alizipeleka nyumbani na familia ikapiga simu Homeland Security. Ilibidi wamarekani wa-launch formal investigation ambayo mpaka sasa inaendelea. Kuna matisho aliyoyatoa January bila kufikiria madhara yake na huyu dada akayachukulia serious na kwa hasira sana. Kumbuka yeye alikuwa anategemea appreciation huku na quite honestly sidhani kama alikuwa na mambo mengine mengi zaidi ya kusaidia. Sasa hiyo ndiyo inasemekana imemfanya Mkulu ashindwe kumpa ule uwaziri ambao kijana alikuwa ana uhakika wa kuupata. Kuna habari pia kwamba kijana January amewekwa kwenye list mbaya ya Homeland Security na itakuwa vigumu sana kusafiri huku mpaka hii issue iwe cleared.

 
Naiona kama ze komedi vile anajiumauma tuuu hakuna jipya anajaribu kuisafisha sisisem wakati haisafishiki ....:A S-confused1:
 
Hawa mafisadi watupu

To Hell January:smash::smash::smash: huu sii utawala wakifalme
 


kaka sio bahati mbaya ni makusudi, wanajua wanacho maanisha Watanzania wengi wana amini hili, Mimi na kuomba kama mzee wa Kijijini embuwaletee humu bei na aina ya mitambo, pia uwezo wake na UPATIKANAJI wake ili WATANZANIA wajue kuwa huu ni uongo!
 

kama ameongea hivyo basi this idiot boy is stupid stupid ever

Sijui na ubunge kaupataje empty like makamba the father
 
hivi kwanini uyu bwana mdogo na genge lake la waliomtuma wanatudharau sana watz???
ivi suala la umeme ni la kulipigia porojo km hivi?
ivi wanatuona wote ni wajinga mbumbumbu na hatuna wataalam wenye kutoa suluhisho?
ivi kwanini wanaleta utani na siasa za k.i.s.e.n.g.. namna hii?
mgao upo palepale na makali yapo palepale hata silioni la uyu dogo kwenda apo kwa mafisadi wezie na kuuza sura na kuleta mizaha,how I wish atokee kichaa mmoja ivi achape watu risasi!!
ila ipo siku walahi watajibu ili kwa wanainchi,saddam,hosni,gadhaf,mussolin,adolph et al wako wapi now!!

wamezidi kunichefua zaidi
 
Nashukuru M.M. Mwanakijiji kwa muhtasari wa maongezi ya January.

Kimsingi, kama walivyo wana-CCM wengine hakuna ubunifu wenye tija hata kidogo katika masuala mazima ya kitaifa. Tena baya zaidi hata ya huko kwenye chama chao yamewashinda na kilichobaki ni kiwashambulia wazee kama akina Sumaye.

Ukisoma kwa makini hata huoni sababu ya January kupewa airtime kuelezea hayo yote maana hakuna lilolo na tija hata moja. Alitakiwa maongezi yake yajikite katika mikakati zaidi ya kutatua tatizo la mgawo wa umeme nchini pasipo kufikiria kubadili sheria za manunuzi eti tu kwa sababu kuna kitu DOWANS ipate soko. Yaani watu hawa wamekosa hata aibu kwa wananchi. Wanayasema tu kama mtu mwenye ganzi kichwani.
 
mi kwa maona yangu ya fasta, huyo jamaa kwenye picha bado ana control hii gemu!View attachment 26048

yeah huyo ndo engineer / master plan , watu wanahangaika huko ha huko jamaa katulia kimyaaa,

hutapata document yoyote unayoweza kumtuhumu moja kwa moja- jamaa yupo ki kazi zaidi. working smart.
 
mi kwa maona yangu ya fasta, huyo jamaa kwenye picha bado ana control hii gemu!View attachment 26048


Ndio maana aliforce William Ngeleja aingie kwenye baraza la mawaziri kama waziri wa nishati na madini kwa nguvu zote maana ni kijana wake na amemuweka kwa maslahi yake zaidi na si ya nchi JK inabidi aonyeshe uungwana kumfukuza kazi huyu dogo hatufai kabisa
 
Kama wiki 2 au 3 zilizo pita Gerald alisema hizi kamati za Bunge hili zimekuwa kama watendaji (as opposed to watchdog)...na akauliza WHO is he to say Washa! Je? alimuliza WHO ARE YOU kusema Washa!
 
Yaani athari zote za mgao waaathirika wakubwa ni Vodacom!?? kweli Rostam ana nguvu!!
 
ila kuna watu wanajiona mungu-watu
kazi tunayo na upole wetu huu
 


hapo kwenye red anamaanisha downz siyo?
 
Katika speech yote hii, mi imenichekesha ilipotajwa VODACOM.

Yaani mpaka sasa hivi sielewi kama MMKJJ unaleta utani au January amemiss dadake.

Hii VODACOM hii, mi naanza kuwa na wasiwasi nayo......mara ya kwanza nilikuwa na wasiwasi na Zain ambao wanabadilisha majina kila siku (ndio mi bado naiita Zain na sio Airtel).

Anyways, popcorn na coke (sio pepsi)
 
anaonekana kuelewa mambo mpaka unajiuliza jinsi TZ "ilivyojaliwa kuwa na vichwa'!!

he has that access to that info. vyote anavyosema ni vitu alivyovipata Tanesco humohumo. nothing new!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…