January kwenye Power Breakfast: Aelezea tatizo la Mgao wa Umeme


Ngeleja hana shida yoyote so far ni mtendaji mzuri. Angalia mengi aliyoyafanya tangu aingie hapo! usiangalie kuwa kabla ya hapo alikuwa wapi. Kila kijana aliyeko kwanye siasa kuna sehemu ameanzia. Tuangalie Ngeleja je kuna maamuzi ameyafanya ya kumpa favour RA? Kwangu mimi hakuna! Lakini kama ni maoni yangu jamaa anachapa kazi sema nchi yenyewe ndiyo hii ambaye hata mwenye nchi mwenyewe anaiangalia tu jinsi alivyoicomplicate mwenyewe!!!
 
Hii nchi itaendelea pale tutakapoacha kuongea ongea tuuu na kuanza kutekeleza majukumu kwa vitendo na si kwa maneno. WaTz sasa washachoka kusikiliza maneno tu na ahadi nyingi, tunachotaka sasa ni vitendo. Kila mtu anakuwa muongeaji tu, kuanzia mkuu wa nchi, waziri mkubwa mpaka hawa wakina January wote wanapiga porojo tu. Imefika wakati hata unaposikia mkuu wa nchi anaongea unabadili station coz una uhakika hakuna la maana litakaloongelewa, na hii ni hali ya hatari sana.

Zamani unapopata taarifa kuwa Rais au Waziri mkuu (Sokoine) anahutubia nchi lazima uhakikishe unatafuta radio umsikilize hata kama utatembea mpaka kwa jirani ili tu usikilize hiyo hotuba. Siku hizi hakuna kitu, imekuwa ni nchi ya bla bla tu. Watz ogopeni sana hii aina ya viongozi wanaopenda kujionyesha kwenye vyombo vya habari, hawa ni hatari kama ukoma.
 
kaka sio bahati mbaya ni makusudi, wanajua wanacho maanisha Watanzania wengi wana amini hili, Mimi na kuomba kama mzee wa Kijijini embuwaletee humu bei na aina ya mitambo, pia uwezo wake na UPATIKANAJI wake ili WATANZANIA wajue kuwa huu ni uongo!

Unaweza kupitia ripoti ya Mwakyembe au hata kuwacheki GE, Yamaha na wengine watengenezaji.
 
[emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Msikilize tu, mwishoni lazima atapigia kampeni serikali kununua mitambo CHAKAVU ya Dowans!
Yuko kikazi fulani zaidi huyu dogo!
Du!!! Hivi hii mitambo chakavu ya DOWANS bado ipo? Hakika mgao wa umeme ni wa kutengeneza kwa asilimia 100 ni suala la muda tu mtaelewa.
 
Miaka kumi baadaye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…