It's all in the head dear...if you know what I mean...
Don't know what u mean but it's all gravy...
Well, leave with it...
So Unajuana na JM personally? Vipi hiyo tuhuma ya Mlalahoi kuwa kamtekeleza mama mtoto wake?
"Leave" with what? or you meant "live with it"?
Haha umeniacha hoi babu duh!!
Ila wanaosema huyu dogo handsome nao metre zao za kupima uhandsome ziko chini sana (No homo).
Kuna mtu ana text/audio/video ya hiyo hotuba aliyotoa JM kwenye huo mkutano wa CCM?
Chicks go c....razy! over him!
Chicks go c....razy! over him!
Puliiiiiiz...speak for yourself.......say Kui is crrrrrrazy about him....
I'm starting to see watu hawana hoja bali wana tetea tu ushabiki. It's sad Tanzania hatujui what qualities make a good leader. Haya ndiyo yote yaliyo muingize JK madarakani. We are simplistic and easily impressed by little things. Ndiyo maana hatuendelei, mtu akiona gorofa jipya tu Posta eti sasa hivi Tanzania kama Ulaya au Dar kama New York. I see mafisadi are not the only problem we have.
Kila mwanaume/mwanaume ana watu wake wanaomzimia au hujui ilo?
Hapa ukiomba sijui hotuba au baadhi ya maandiko ya huyu muungwana utaambiwa nenda kagoogle.
Seems like she doesn't know....
Unam nadi mgombea kisha unasema katafute sera zake mwenyewe na ukimaliza umpe kura dah!!! Mimi nipo open minded about this guy lakini tatizo wanao msupport badala ya kutoa hoja za kumuonyesha kuwa anafaa wame badilisha uongozi kuwa kama kinyang'anyiro cha Miss Tanzania. Lets get serious people. Mnasema anafaa sawa toeni hoja na ushahidi wa kuthibitisha haya. Ukiuliza oh wivu yeye ni mzuri sana eh.
Mwana F, the guy is smart and he seems focused, that's why I support the fact that akipikwa vizuri sasa, we can have one strong leader in the future. If we have and see people like him now, why not encourage them for the future of our country?
Hata wewe unaonekana mzuri mbona? π
But, looks matters too, to say the truth. Kwani nani anataka watu ambao hata suruali hawawezi kufunga? like many of our...
Huoni hata viuno nyao, inabidi wavae elastic. Who want that???!!
Lakini unaona kijana January alivo mfano intellectually, physically...unaona suruali ilivo kaa vizuri...π
Mwana F, the guy is smart and he seems focused, that's why I support the fact that akipikwa vizuri sasa, we can have one strong leader in the future. If we have and see people like him now, why not encourage them for the future of our country?
Hata wewe unaonekana mzuri mbona? π
But, looks matters too, to say the truth. Kwani nani anataka watu ambao hata suruali hawawezi kufunga? like many of our...
Huoni hata viuno nyao, inabidi wavae elastic. Who want that???!!
Lakini unaona kijana January alivo mfano intellectually, physically...unaona suruali ilivo kaa vizuri...π
Mwana F, the guy is smart and he seems focused, that's why I support the fact that akipikwa vizuri sasa, we can have one strong leader in the future. If we have and see people like him now, why not encourage them for the future of our country?
Hata wewe unaonekana mzuri mbona? π
But, looks matters too, to say the truth. Kwani nani anataka watu ambao hata suruali hawawezi kufunga? like many of our...
Huoni hata viuno nyao, inabidi wavae elastic. Who want that???!!
Lakini unaona kijana January alivo mfano intellectually, physically...unaona suruali ilivo kaa vizuri...π
Haya tunaomba maandiko, au kazi zake zinazokufanya useme hivi.