Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
BAK, Duh
Kamanda yaani wewe upo against na kila kitu! Well kule YA alikuwa anakwenda kwa jina la Curtis na Kelly kipindi hicho macho yake yote yalikuwa Bill Powers kabla ya MMJ kuja kumbadili upepo kwa mashairi ya haja, mwishoe kwa mshangao wa wengi wakawa ni mabinamu...
Kipindi kile NN alikuwa akichungulia YA na kutolewa mkuku na N. Dumisane, ilikuwa raha ya aina yake!
Una project gender inferiority yako. Hoja mbovu ni hoja mbovu tu. Haijalishi kama aliyeitoa ni mwanamke, mwanamme, transgender, hermaphrodite, gay, au hata klingons...
I'm going to heed your advice and let it be...okay?
Kidole na macho,mama.i am not trying get defensive ila habari ndiyo hiyo....swali wewe ulivyoandika kwa nini wanawake wa shave..uliona hiyo ni hoja ya maana?....just curious!>..
Kumbe kupiga soga na Rais nayo ni sifa ya kuleta mabadiliko baadae...kazi ipo. Swali la msingi hapa ni moja tu - OBAMA AKISEMA FULANI NAMKUBALI ndo wote tuamini hivyo, mi sidhani Bwana Baraka O. Hussein ni kila kitu eti kwasababu ni Rais wa Marekani. hoja hizo ni za kipuuzi kabisa.
Hahahahaah!...uwiii niacheni nicheke miye....yaani watu inaonekana hii kitu imewakera sana.....thats what's up!...mtampiga sana madongo kaka wa watu na mtasema sana hoja ni ya kipuuzi but at the end of the day umefungua na umesoma na ukatoa comment.....so who is mpuuuzi now?......go figure!
tumejua kumbe ulianza kumfukuzia JM tangu YA leo umesikia "kalamba dume" unaanza kuanzisha thread za kujikomba kwake....grow up lady....ur not such cheap.....soon baada ya october 2010 unanianzishia.....mie sijali ila uwe mkali gari taka hiliHahahahaah!...uwiii niacheni nicheke miye....yaani watu inaonekana hii kitu imewakera sana.....thats what's up!...mtampiga sana madongo kaka wa watu na mtasema sana hoja ni ya kipuuzi but at the end of the day umefungua na umesoma na ukatoa comment.....so who is mpuuuzi now?......go figure!
tumejua kumbe ulianza kumfukuzia JM tangu YA leo umesikia "kalamba dume" unaanza kuanzisha thread za kujikomba kwake....grow up lady....ur not such cheap.....soon baada ya october 2010 unanianzishia.....mie sijali ila uwe mkali gari taka hili
At laast, (reminds me of the first slow song on jan the 20th., danced by the first couple, and at last, our President got to meet with the first african american president of the United States. A lot of expectations already? of course, but we need to quit that behaviour and learn to be dependent. It was an amusing week for a lot of people out here but for Mr cool himself, (prez kikwete) he was as calm as always and just retained a sense of equanimity. Am guessing he got exhausted just by people talking about that week. Not the first time but once again Prez Kikwete was in the heezy!
So, after that loong week and after six months of the year, I wont mind reminiscing, anecdoting and badinaging over a bottle of vintage bubbly. Thank God it's friday. I found this okay place to go for a drink, relax once in a while and some weekends, It's called, 'Recession special'. Their food is amazing, too greasy though and that's why it's amazing!, ah! bwana, who cares if add that avoirdupois, I'll blame on 'Recession' special and not my own laziness and cheapness. Talking cheap, save and all those valuable words especially now, I've been pretty creative during this Recession time. I've been able to slow down on my spending, Yea!, microwave a lot, saves time too, watch TV free online and most important choose Obama stocks. Anything to do with his name, is a good investiment. (don't ask me how this works in Tanzania) share your thoughts.
Also, I realized that learning a foreign language saves more than movies. (Am serious people, the vintage isn't in my head yet) why not get ahead of the Geopolitical curve and study Korean? north korean to be exact, if they have two different languages. North Korea is again doing some muscle flexing, albeit much more modest than in the past. What's up with that Kim dude with his pantsuits? and he looks like he's in the grave already. But, mastering the tongue of Mr Kim could well come to regain some cachet. And if not, you still can order some vintage in Pyongyang.....if you can make it there.
This guy is a danger to national security, I know he is a rookie and all, but did he have to be so callously cavalier?
Huyo Makamba kaoa lini?
umejuaje?Ameoa zamani sana enzi za utawala wa Benjamin Mkapa......
umejuaje?
Ameoa zamani sana enzi za utawala wa Benjamin Mkapa.....why ulikuwa unataka kumpigia pande mtu nini?....hahaha kashaija its too late....