Na MUNGU amlaaniTapeli mwizi wa kula 2015 sisi tutamuamini vip?
Kapime macho, inamaana Mshambo we humuoni hapo akisubiri kukabidhi form? Chadema shida sana, no wonder nchi hamuwezi pewa kwa akili dizain hiiTapeli mwizi wa kula 2015 sisi tutamuamini vip?
Lengo la CCM Ni Majaliwa, Npe na January wapite bila kupigwa ili wazunguke na Jiwe kwenye kampeni kumsaidia.
Kitu ambacho hawaelewi Ni kwamba mahitaji ya wakati watu hawaitaki CCM.
Hapana mkuu mbona CHADEMA walikuwa wawazi mwanzo walitoa taarifa za kuporwa fomunmgombea wao na baada ya hapo wakatoa tena taarifa kuwa fomu karejeshewa sasa sijaona tatzo la CHADEMA kwani hata huyo January alianza kusema kupitia ukurasa wake wa Twitter baada ya CHADEMA kuweka taarifa kuwa mgombea wao karejeshewa fomuChadema wamekuwa na hofu sana, hawana imani na yeyote na kwa hili siwalaumu, mambo waliyofanyiwa na awamu hii yanawafanya wakose imani nao kabisa.
Duh... Umeandika kijinga mnoYeye anawezaje kukana kwani yeye ndiye aliyeporwa mbona ccm ni wajinga kiasi hiki hebu nitoe mfano MTU akisema amepigwa na mtu fulani anawezaje kujitokeza mtu ambaye hakuwepo na kusema hajapigwa kwanza ccm ni watuhumiwa kwenye hilo so hawana moral authority ya kusema chadema hawajaporwa otherwise Niyeye 2020
Ingekua wewe hata mwekundu tu ungepiga hadi kampeniHuyo mgombea wa chadema ni choka mbaya balaa!
Huyo akiwekewa milion 5 mezani hachomoi
Sasa hao chadema wanashindwa kuuliza aliporwa na nani na ni nani aliyemrudishia ili awe mfano kwa wengine?Hapana mkuu mbona CHADEMA walikuwa wawazi mwanzo walitoa taarifa za kuporwa fomunmgombea wao na baada ya hapo wakatoa tena taarifa kuwa fomu karejeshewa sasa sijaona tatzo la CHADEMA kwani hata huyo January alianza kusema kupitia ukurasa wake wa Twitter baada ya CHADEMA kuweka taarifa kuwa mgombea wao karejeshewa fomu
Issue hapa ni hawa waropokaji kuropoka na kuleta taharuki utadhani wagombea wao ni special na wanatisha kweli. Mbona vyama vingine hawatekwi. Hawa jamaa na masaburi yao wasengerema kweli kweli. Kipindi cha korona napo kila mara ilikuwa ni kuzua taharuki tu.January hawezi kufanya huo ujinga anajua siasa, nashangaa kwa nini NAPE kawa mpuuzi ghafla.