Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Salaam Wakuu,
Kufuatia video fupi ya Wananchi wa Bumbuli kulalamika kupelekewa drafti na Makamba badala ya maendeleo
Soma hapa:
- Kuelekea 2025 - Bumbuli: Wananchi wamlalamikia January Makamba kuwapelekea Madrafti huku mambo mengine ya kimaendeleo yakisimama
Kupitia ukurasa wake wa X (Twitter) Makamba amekanusha kupeleka na kutoa ufafanuzi huu:
Hapana. Sikupeleka.
1. Kuna kijana anatengeneza hiyo michezo aliomba kutumia picha yangu. Sikumkatalia.
2. Shida ya barabara aliyosema ni ya kweli kabisa. Kazi nzuri imefanywa na Serikali yetu, lakini hatujaweza kuifikia hiyo barabara.
3. Tuna deni la ratiba ya kuanza ujenzi.
Nini mtazamo wako kwenye hili?
Kufuatia video fupi ya Wananchi wa Bumbuli kulalamika kupelekewa drafti na Makamba badala ya maendeleo
Soma hapa:
- Kuelekea 2025 - Bumbuli: Wananchi wamlalamikia January Makamba kuwapelekea Madrafti huku mambo mengine ya kimaendeleo yakisimama
Kupitia ukurasa wake wa X (Twitter) Makamba amekanusha kupeleka na kutoa ufafanuzi huu:
Hapana. Sikupeleka.
1. Kuna kijana anatengeneza hiyo michezo aliomba kutumia picha yangu. Sikumkatalia.
2. Shida ya barabara aliyosema ni ya kweli kabisa. Kazi nzuri imefanywa na Serikali yetu, lakini hatujaweza kuifikia hiyo barabara.
3. Tuna deni la ratiba ya kuanza ujenzi.
Nini mtazamo wako kwenye hili?