January Makamba ameonyesha uthabiti kusimamia maslahi ya Tanzania nje ya nchi, mfano mzuri ni suala la ATCL kuzuiwa biashara Kenya

January hajafanya chochote. Zile ng'ombe za Kenya ndio zimekuja zikipiga magoti baada ya kututishia kujamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…