Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
""Atakuja atakaye wabatiza kwa moto!,"" kumbe naye akawa mmoja wapo! 😀Duh... !, this is adding an insults to an injury!.
It's not fair, not now, ungesubiri subiri apoe, haiwezekani mtu amekutwa na yale badala ya kumfariji na kumpa pole, wewe unampelekea moto!
This is not fair at all.
P
Tapeli kabisa anashindwa na Rashid Shangaz, Makamba anajiona mzungu yuko busy na wizara sasa kashatolewaNimefika Bumbuli. January alipita Bumbuli nadhani Mara tatu. Ya kwanza kuiba Kira, ya pili kumuwekea mpinzani upinzani, ya tatu Ni hii juzi.
Huyu mtoto wa kihaya Ni very selfish Kama yule mnyakyusa rafiki yake.
Arusha mjini chadema waliiacha imechoka wao walikuwa wanawaza posho tu ukitaka ungombane na lema muulize fedha za mfuko wa jimbo alikuwa anapeleka wapiWapeni chadema watawaletea maendeleo makubwa kama hamumtaki January!, oneni maendeleo, hai, Arusha mjini kwa enzi zile!
UPINZANI IS USELESS!, KELELE MINGI SANA!Arusha mjini chadema waliiacha imechoka wao walikuwa wanawaza posho tu ukitaka ungombane na pema muulize fedha za mfuko wa jimbo alikuwa anapeleka wapi
Na wakipewa madaraka ni useless wewe jiulize kina sugu wamewafanyia nini kina wanambeya zaidi ya kujijengea mahoteli?UPINZANI IS USELESS!, KELELE MINGI SANA!
January ni muhaya?? Nkajua mgosi.....Nimefika Bumbuli. January alipita Bumbuli nadhani Mara tatu. Ya kwanza kuiba Kira, ya pili kumuwekea mpinzani upinzani, ya tatu Ni hii juzi.
Huyu mtoto wa kihaya Ni very selfish Kama yule mnyakyusa rafiki yake.
Ni wadanganyika kutokufuatilia mienendo ya kiuwajibikaji, hawa jamaa ni rubbish na wa binafsi kwelikweliNa wakipewa madaraka ni useless wewe jiulize kina sugu wamewafanyia nini kina wanambeya zaidi ya kujijengea mahoteli?
januari makamba hana cha kujivunia bumbuli, hana nyumba ya kuishi ofisi wala gari pale amemuweka huyo anayemuita msaidizi wake kageuka kuwa mla rushwaDuh... !, this is adding an insults to an injury!.
It's not fair, not now, ungesubiri subiri apoe, haiwezekani mtu amekutwa na yale badala ya kumfariji na kumpa pole, wewe unampelekea moto!
This is not fair at all.
P
naomba kuwajuwa singnatories wa mfuko wa jimbo. unajua maana ya mfuko wa jimbo? hizi pesa zinaingizwa kwenye account ipi ? mbunge anaweza kula pesa ya mfuko wa jimbo? howArusha mjini chadema waliiacha imechoka wao walikuwa wanawaza posho tu ukitaka ungombane na lema muulize fedha za mfuko wa jimbo alikuwa anapeleka wapi
Mkuu P waswahili wanasema uliyekoka naye kuni ndiye utaota naye moto, huyu mwamba maisha yake yote ni Dar es Salaam sasa leo kayatimba huko ndiyo watu wa Bumbuli wampe pole kweli ?Duh... !, this is adding an insults to an injury!.
It's not fair, not now, ungesubiri subiri apoe, haiwezekani mtu amekutwa na yale badala ya kumfariji na kumpa pole, wewe unampelekea moto!
This is not fair at all.
P
Picha mbali mbali za BumbuliView attachment 3059092
Hapo ndio bumbuli Mjini
Kwanini asiweze nenda YouTube kaangalie wabunge wanavyohujiwa kuhusu pesa za mfuko wa hata wa upinza case study ni interview ya Joshua Nassari na nyanda wa star tv kabla hajahamia CCMnaomba kuwajuwa singnatories wa mfuko wa jimbo. unajua maana ya mfuko wa jimbo? hizi pesa zinaingizwa kwenye account ipi ? mbunge anaweza kula pesa ya mfuko wa jimbo? how
Mama yake ni Mhaya, na baba take anaishi Tegeta kule Bumbuli ni kama kesha hama.January ni muhaya?? Nkajua mgosi.....
Labda asiwe na hela za kumalizana mapema na wapinzani wake.Kwako mbunge wa Bumbuli January Makamba,
1. Uliwaahidi kuwatengenezea uwanja pale Toghotwe! Ukaishia kuuchimba uwanja ule bila kuumalizia hilo haliwezi kukuacha salama. Ni bora ungeuacha ulivyokuwa uwanja ule ingekusaidi. Wanawake Bumbuli uliwadanganya. Wao walikaa kimya wakijua ungetenda hukutenda. Hutabaki salama.
2. Bumbuli hawana maji japo wapo karibu na vyanzo vya maji watu wameongezeka vyanzo vilevile. Hutabaki salama kwa hili.
3. January barabara toka soni kwenda bumbuli ni mbovu na ya msimu. Uliadi kuijenga kiwango cha lami . Barabara hiiii mbovu hujaijenga uliwdanganya. Wazir bashungwabalikuja na kiwaamba ni ya kiwango cha cha changarawe na si lami. Ulifanganya? Tuseme ullikuwa hujui? Hujui vipi wewe ni Waziri na mjumbe wa baraza la Mawaziri?
Mbunge wa bumbuli unakuja bumbuli kwa million tena ya hafla, unawaza uraisi badala ya kiwaza jimbo liliokufikisha hapo?,twafa. Unajua matatizo ya maji yaliyopo mahezqngulu? Bila shaka hujui?,utajuaje unawaza urais! Uraisi wakati jimbo linakushinda?
Nani aliuza mashamba ya chai? Ulimuuzia MO Wa simba? Tunajua hata ulimuoa babra ili upate pesa ya kampenì toka kwa mo. Hutafanikiwa .
4. Kuhamishwa kwa halmashauri bumbuli to kwehangala,, ilikuaje hata ukakubali hali kule bumbuli majengo yale yakabaki magofu?
Tunajua kwann unapita bila kupingwa, tunapambana na weww mwakani. Tunajua kazi anazofanya katibu wa mbunge pale bumbuli.
Tutakuonesha
.