January Makamba, miradi ya umeme yenye dhamani ya 57 Bilioni imekwama kanda ya ziwa au hujawalipa wakandarasi?

January Makamba, miradi ya umeme yenye dhamani ya 57 Bilioni imekwama kanda ya ziwa au hujawalipa wakandarasi?

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Kuna shida inayoendelea kunyemelea uongozi wa awamu ya 6. January Makamba, waziri wa Nishati alipita mikoa ya kanda ya ziwa na kusema ametuma fedha za miradi ya umeme takribani 57 Bilioni.

Cha kushangaza na kusikitisha hakuna mkandarasi site mikoa yote ya kanda ya ziwa na wanaccm wanasubiri umeme hawauoni.

Ni lini miradi hiyo mipya ya kusambaza umeme itaanza kufanyika ukizingatia kuwa waziri alisema wakandarasi eamelipwa 57 bilioni?
 
Ukiwa muongo usiwe mwepesi wa kusahau,ndani ya Uzi mmoja umetaja Fedha kiasi tofauti Mara wamelipwa 57 Billion Mara ni 67 Billion,tushike kipi?
Uzi mdogo wa hovyo kama huu unashindwa kutunza kumbukumbu utaweza kumkumbusha January Makamba kazi?
Wamechanganyikiwa hawa
 
Ukiwa muongo usiwe mwepesi wa kusahau,ndani ya Uzi mmoja umetaja Fedha kiasi tofauti Mara wamelipwa 57 Billion Mara ni 67 Billion,tushike kipi?
Uzi mdogo wa hovyo kama huu unashindwa kutunza kumbukumbu utaweza kumkumbusha January Makamba kazi?
January Makamba akiwa mkoa wa mara alitaja 67 Bilion, akiwa Kagera alitaja 57 bilion.
Ujue wanaccm tumekosa umeme tumechanganyikiwa
 
Ukiwa muongo usiwe mwepesi wa kusahau,ndani ya Uzi mmoja umetaja Fedha kiasi tofauti Mara wamelipwa 57 Billion Mara ni 67 Billion,tushike kipi?
Uzi mdogo wa hovyo kama huu unashindwa kutunza kumbukumbu utaweza kumkumbusha January Makamba kazi?
January usipanick. Kwani we hujui typing errors? Ujumbe si umeuelewa.
 
Miradi mingi ikwemo jengo uwanja wa ndege Mwanza kwishinei
 
Back
Top Bottom