January Makamba na Majiko ya Gesi

January Makamba na Majiko ya Gesi

Silvanos

Member
Joined
Mar 16, 2016
Posts
5
Reaction score
6
Poleni na mihangaiko ya Dunia

Ila Mungu yu mwema siku zote.

Bila kuwachosha naomba niende kwenye topic moja kwa moja

Hili sawa la January Makamba kupita kila mkoa anagawa majiko ya Gas kwa Mama ntilie, Baba ntilie na Wakaanga samaki na Dagaa limekaa aje ?

Maswali ya kujiuliza
- Pesa za kununua Majiko yote hayo amepata wapi?

- Kama ni Budget ya Wizara Je ilipitishwa na Bunge lipi?

- Kama ni Wafadhli Je, hao wafadhli ni akina nani na wanalengo gani?

Kwanini awamu hii?
Na kwanini apite yeye Binafsi kugawa majiko?
Kwani swala la Kugawa majiko silingeweza fanyika hata na wasaidizi wake?

Kuna nini nyuma ya Pazia?

Au ndo Kampeni za Chini kwa chini kuelekea 2025 kwa kivuli cha kusaidia Wajasilia mali wadogo.View attachment 2305487
 
Poleni na mihangaiko ya Dunia
Ila Mungu yu mwema siku zote.

Bila kuwachosha naomba niende kwenye topic moja kwa moja

Hili sawa la January Makamba kupita kila mkoa anagawa majiko ya Gas kwa Mama ntilie, Baba ntilie na Wakaanga samaki na Dagaa limekaa aje ?

Maswali ya kujiuliza.

- Pesa za kununua Majiko yote hayo amepata wapi?

- Kama ni Budget ya Wizara Je ilipitishwa na Bunge lipi?

- Kama ni Wafadhli Je, hao wafadhli ni akina nani na wanalengo gani?

Kwanini awamu hii?

Na kwanini apite yeye Binafsi kugawa majiko ?
Kwani swala la Kugawa majiko silingeweza fanyika hata na wasaidizi wake?

Kuna nini nyuma ya Pazia ?

Au ndo Kampeni za Chini kwa chini kuelekea 2025 kwa kivuli cha kusaidia Wajasilia mali wadogo.View attachment 2305487
...Ongeza na hili: vijijini anakogawa Mitungi ya Gas, ikiisha? Gas watanunua wapi? Kwa Elfu 24 za nani? Kijijini wangapi wataweza kutoa Alfu 24 kununua Gas baada ya Ile waliyopewa kuisha??
 
Jamaa anahangaika tu!

Amejibanza KWA kingmaker Rostam!lakini kashindwa kujifunza KWA lowasa ambaye alishinda lakini hakutangazwa!


The state ina WATU WAO ambaye YEYE Sio type ya Hao Jamaa!!

Samiah ataikabidhi NCHI ukanda wa ziwa nyanza KWA Mara nyingine Ili AJAYE akamilishe KAZI na maono ya hayati shujaa japo kivingine tofauti na shujaa alivokuwa akifanya Hivyo!!

Ajaye hatoki uswahilini anatokea ziwa nyanza hasa KWENYE maji matamu!!
Yote KWA yote

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!
 
Kumbuka alichukuwa 30 million USD kutoka Serikalini “kununua software ya tanesco“.

Ipo siku Makamba atakuja kufungwa Jela, hakuna aijuaye kesho, mambo yanabadilika haraka sana!
 
Poleni na mihangaiko ya Dunia
Ila Mungu yu mwema siku zote.

Bila kuwachosha naomba niende kwenye topic moja kwa moja

Hili sawa la January Makamba kupita kila mkoa anagawa majiko ya Gas kwa Mama ntilie, Baba ntilie na Wakaanga samaki na Dagaa limekaa aje ?

Maswali ya kujiuliza.

- Pesa za kununua Majiko yote hayo amepata wapi?

- Kama ni Budget ya Wizara Je ilipitishwa na Bunge lipi?

- Kama ni Wafadhli Je, hao wafadhli ni akina nani na wanalengo gani?

Kwanini awamu hii?

Na kwanini apite yeye Binafsi kugawa majiko ?
Kwani swala la Kugawa majiko silingeweza fanyika hata na wasaidizi wake?

Kuna nini nyuma ya Pazia ?

Au ndo Kampeni za Chini kwa chini kuelekea 2025 kwa kivuli cha kusaidia Wajasilia mali wadogo.View attachment 2305487
Kampeni 2025
 
Huyu jamaa anataka kututoa ktk mradi wa umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere kwa ajili ya 'kunadi' gas ambayo awamu ya 4 'walijimilikisha'! Amkeni wa Tz upigaji mwingine umeandaliwa na ni kilio kikubwa tuendako!
 
Mitungi ya kijani tupu, kampuni ya Rostam…. The Kingmaker.!!!
 
Back
Top Bottom