Pre GE2025 January Makamba na Nape kiburi cha madaraka kinaweza kuwakosesha ubunge 2025

Pre GE2025 January Makamba na Nape kiburi cha madaraka kinaweza kuwakosesha ubunge 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
NI wazi kuwa hawa vijana wamekuwa wakitazamwa kwa makini kabisa na kiongozi wa nchi jinsi wanavyofanya kazi tangu awateue kumsaidia kazi amekusanya ushahidi wote juu ya utendaji wao, haya yaliyotokea kuwatengua na kuwaweka pembeni siyo kwa bahati mbaya hao vijana hawafai hata kidogo kuwa viongozi kwani wanachojuwa ni kufanya hujuma katika Serikali wengi tulijoonea katika serikali ya awamu ya tano ilifika mkuu wa nchi anatukanwa kupitia voice notes zao haitoshi waliamua kujifanya kuwa NI wazee wa chama wakaandika waraka mrefu kwa kivuli cha wazee wao kusema msiba anawatukana hadi kufikia kutumbuliwa na aliyekuwa raisi wa awamu ya tano.

Kinachotafuna hao vijana NI makuzi waliyolelewa ndani ya chama na ndiyo maana Kila kitu wanaona bila wao ccm haipo lakini hawajiulizi kabla ya wao je ccm haikuwepo? Sasa mama anawajuwa vizuri kawaweka kwenye buyu la asali amecheki lambalamba yao akaona hapana hawafai! Ukibebwa bebeka maneno ya Kiswahili hayo sasa nyie mmebebwa na bado aliyewabeba mnataka mumwangushe hilo haliwezekani.
 
Ni Spana Juu ya Spana hampoi yaan wakikaa hivi Spana wakikaa vile Spana
 
umeshiba chai sasa nawe unajitutumua kuandika na hapo ndo ubongo wako ulipoishia sasa!,muambiwe mara ngapi kuwa ile timu hushinda hata kwa bao la mkono..?
 
Back
Top Bottom