BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,191
Sio miradi ya Magufuli, ni miradi ya Serikali, na yote itakamilika kwa kuzingatia ubora wa kiwango kinachotakikanaKamilisheni miradi yote ya Magufuli
Tuko pamoja! huyu ndiyo kijana kwa maana ya ujana! Ubunifu, Usikivu, na utendaji wa haraka, hakuna unafiki. Bashe for presidency! 2025!Napenda kusema ukweli wa moyoni mwangu, mfano wangu wa kuigwa katika siasa za kizazi kipya nchini Tanzania ni Ndugu January Makamba.
Mi ni mwanasiasa mchanga, nipo kwenye mambo ya siasa tangu 2013. Nilipoanza kujihusisha na mambo ya siasa, na Mungu akijaalia mwaka 2025 nategemea kugombea ubunge. Ila kila nikiangalia vijana wa sasa ambao naona wanafanya siasa zao kistaarabu, ni Ndugu Makamba Jr. Ni kiongozi mzuri, anaweza kutunza jazba na kuliendea jambo kimakini na kiuweledi mkubwa sana.
Hapendi jazba na anajali kuwasikiliza wengine ili kuboresha jambo liende vizuri. Namtabiria mema mbele ya safari.
Nawasilisha.
Kabebwe na wewe Kama unaona rahisi. Mbona mnamchukia sana, amewafanya nn, au Kuna kosa gani amefanya katika uongozi wake. Ukinipa majibu ya haya maswali nitakuona una akiliAnabebwa na kikwete tu ila uwezo hana kwa kweli
Na yale Ma PHDADA yanabebwa na nani?Anabebwa na kikwete tu ila uwezo hana kwa kweli
Mimi nachomkubali huyu jamaa kwanza sio mtu vinyongo vinyongo na ana exposure yaani mtoto wa mjini.Napenda kusema ukweli wa moyoni mwangu, mfano wangu wa kuigwa katika siasa za kizazi kipya nchini Tanzania ni Ndugu January Makamba.
Mi ni mwanasiasa mchanga, nipo kwenye mambo ya siasa tangu 2013. Nilipoanza kujihusisha na mambo ya siasa, na Mungu akijaalia mwaka 2025 nategemea kugombea ubunge. Ila kila nikiangalia vijana wa sasa ambao naona wanafanya siasa zao kistaarabu, ni Ndugu Makamba Jr. Ni kiongozi mzuri, anaweza kutunza jazba na kuliendea jambo kimakini na kiuweledi mkubwa sana.
Hapendi jazba na anajali kuwasikiliza wengine ili kuboresha jambo liende vizuri. Namtabiria mema mbele ya safari.
Nawasilisha.
Naunga mkono hoja, January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best PresidentNapenda kusema ukweli wa moyoni mwangu, mfano wangu wa kuigwa katika siasa za kizazi kipya nchini Tanzania ni Ndugu January Makamba.
Mi ni mwanasiasa mchanga, nipo kwenye mambo ya siasa tangu 2013. Nilipoanza kujihusisha na mambo ya siasa, na Mungu akijaalia mwaka 2025 nategemea kugombea ubunge. Ila kila nikiangalia vijana wa sasa ambao naona wanafanya siasa zao kistaarabu, ni Ndugu Makamba Jr. Ni kiongozi mzuri, anaweza kutunza jazba na kuliendea jambo kimakini na kiuweledi mkubwa sana.
Hapendi jazba na anajali kuwasikiliza wengine ili kuboresha jambo liende vizuri. Namtabiria mema mbele ya safari.
Nawasilisha.
Wewe unayemjua tuambie habari zakeHumjui vizuri uyo jamaa...