January Makamba sasa ni wakati wa kuriudi Lushoto kushirikiana na Wenzako Barabara Magamba-Mlalo na Mlola ziwe za lami

January Makamba sasa ni wakati wa kuriudi Lushoto kushirikiana na Wenzako Barabara Magamba-Mlalo na Mlola ziwe za lami

Mkongwe Mzoefu

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2018
Posts
861
Reaction score
2,515
Mmetumia nguvu nyingi kutaka kupata kura za wananchi ili kujijengea maslahi yenu lakini Wabunge wilaya ya Lushoto hamjawahi kushirikiana kujenga wilaya yenu.

Maeneo mengi hayana maji wala barabara njema vijijini jimbo la Lushoto na Mlalo kwa sababu Wasambaa na Wambughu hawana tabia ya kuwa shinikiza na nyie wabunge hamna sauti moja.

Huyo mwenzako mhe. Shangazi kwake mambo ya Simba ni muhimu kuliko ya Lushoto.

Shirikianeni hizi barabara kuu za kutokea maunganisho ya Magamba pale kwenda Mlola na kwenda Mlalo kinashindikana nini? Au walivyosafisha mpaka pale kwa Mstaafu Mkapa ndio inatosha?

Hivi mnajua Lushoto kama ingeunganishwa na hizo barabara utalii wa Lushoto na maendeleo ya watu yangekuwa juu?

Au mnataka kutuambia mmechoka?

Lushoto bado ina wadau wafadhili wengi toka nje hasa Ujerumani na Sweden lakini wanasema siasa zenu wabunge zinawakwamisha miradi mingi ya misitu nk.
 
Ila kwa hili wameshalisema sana since early 2010s, ni basi tuu hawa wasambaa ni kama wanakaasili ka kujiona ni watumwa!
Nenda kule Lushoto utajionea fursa zilizopo na maisha ya watu wake!
Sijui kuhusu Makamba, lakini mtu kama Shangazi mbunge wa Lushoto au Mlalo sina uhakika, yeye anaona kutambulika kama mjumbe wa Simba ni muhimu kuliko kuwafanyia kazi wanaLushoto
 
Mmetumia nguvu nyingi kutaka kupata kura za wananchi ili kujijengea maslahi yenu lakini Wabunge wilaya ya Lushoto hamjawahi kushirikiana kujenga wilaya yenu.

Maeneo mengi hayana maji wala barabara njema vijijini jimbo la Lushoto na Mlalo kwa sababu Wasambaa na Wambughu hawana tabia ya kuwa shinikiza na nyie wabunge hamna sauti moja.

Huyo mwenzako mhe. Shangazi kwake mambo ya Simba ni muhimu kuliko ya Lushoto.

Shirikianeni hizi barabara kuu za kutokea maunganisho ya Magamba pale kwenda Mlola na kwenda Mlalo kinashindikana nini? Au walivyosafisha mpaka pale kwa Mstaafu Mkapa ndio inatosha?

Hivi mnajua Lushoto kama ingeunganishwa na hizo barabara utalii wa Lushoto na maendeleo ya watu yangekuwa juu?

Au mnataka kutuambia mmechoka?

Lushoto bado ina wadau wafadhili wengi toka nje hasa Ujerumani na Sweden lakini wanasema siasa zenu wabunge zinawakwamisha miradi mingi ya misitu nk.
Mkuu hata Madiwani wao baado sana; wengi wapo kwa maslahi yao tu. Kuna mradi wa umwagiliaji wa FAO kule Mng'aro-Mlalo; upo taabani kabisa, hakuna anaye jali. Tunawataka wabadilike wakati ni sasa. Mradi wa umwagiliaji ndio mkombozi wa wanan chi wa kule. MJITAFAKARI.
 
Hata hii thread wasambaa hawachangii maana wao kwao bora kupata ajira Kariakoo kushusha nyanya na kabechi hayo ya nyumbani kwao usambaani ISHWI TIZABINDA!
KUSHIZIE MBWAI ?

Kule Lushoto vijijini Mambo view point wazungu wanajazana Sana Kwani Kuna nini ? Hasa wajerumani
 
Mmetumia nguvu nyingi kutaka kupata kura za wananchi ili kujijengea maslahi yenu lakini Wabunge wilaya ya Lushoto hamjawahi kushirikiana kujenga wilaya yenu.

Maeneo mengi hayana maji wala barabara njema vijijini jimbo la Lushoto na Mlalo kwa sababu Wasambaa na Wambughu hawana tabia ya kuwa shinikiza na nyie wabunge hamna sauti moja.

Huyo mwenzako mhe. Shangazi kwake mambo ya Simba ni muhimu kuliko ya Lushoto.

Shirikianeni hizi barabara kuu za kutokea maunganisho ya Magamba pale kwenda Mlola na kwenda Mlalo kinashindikana nini? Au walivyosafisha mpaka pale kwa Mstaafu Mkapa ndio inatosha?

Hivi mnajua Lushoto kama ingeunganishwa na hizo barabara utalii wa Lushoto na maendeleo ya watu yangekuwa juu?

Au mnataka kutuambia mmechoka?

Lushoto bado ina wadau wafadhili wengi toka nje hasa Ujerumani na Sweden lakini wanasema siasa zenu wabunge zinawakwamisha miradi mingi ya misitu nk.
Sio humo tu kuanzia old korogwe, kwameta, kwamndolwa mpaka magoma, na nyumbani kwake Mahezanguru hamna lami
 
Back
Top Bottom