January Makamba: TANESCO sasa wamesitisha miradi ya ujenzi wa maofisi na kuelekeza fedha kukarabati miundombinu ya Ugavi

Wewe ndio taahira kabisa!

Hizo repair nchi nyingine hazifanyiki? Nako unakatika umeme kama huku kwetu kisa repair?

Hizi chuki zenu kwa Magufuli zemefanya muwe matahira na wapumabvu kabisa!

Kipindi kile cha JK tulikuwa tunakaa hadi wiki hatupati umeme repair zilikuwa hazifanyiki??
 
Sasa hapo huoni kama wewe ndio una harisha?

Hizo hela za hivyo vifaa ni kitu gani kwa shirika kama tanesco?

Yani miaka kibao toka enzi za Jk umeme tunagawiwa wiki hadi wiki kumbe ishu ni vifaa vya huto tu cent?

Msiwe wajinga kisa chuki kwa Magufuli! Mwishowe jamaa zenu jogoo wakishindwa kupanda mtungi bado mtamsingizia magufuli,
 
Huko kwenu USA wakifanyaga repair mnakaaga kwenye giza you fuckin bloodclaat.
 
Kila kitu excuse excuse na visababu milioni kama kawaida, watu wanataka umeme wa uhakika sio story
 
Tuache awamu ya mwendazake turudi tena nyuma, JK nae alikuwa akichukua hizo pesa za mashirika na kuzipeleka hazina? Nae alikuwa hafanyi repair?
Do not change the goal post at the middle of the game otherwise, we cannot reach our goal. I am out of this.
 
Wacha inyeshe tujue panapovuja mkuu,mfano kuna hili swala utoaji wa nguzo za zamani na kuweka hizi mpya za zege,sasa watu wafanye hiyo kazi bila kukata umeme kweli?
 
Kwa ujinga huu bado sana, eti uongo kuna mahali umeme haukatiki mtu anazeeka hajaona blackout.
 
Angeacha Tanesco wajijibie
 
Mkuu suala langu lilikuwa, huo uchakavu anaouzungumzia ulikuwa unamsubiri tu yeye awe waziri?
Na hapo unahalalisha kukatika umeme kwa kisingizio Cha kufanya PM
Kwa nchi ambazo umeme haukatiki wao wanafanyaje?
 
Wacha inyeshe tujue panapovuja mkuu,mfano kuna hili swala utoaji wa nguzo za zamani na kuweka hizi mpya za zege,sasa watu wafanye hiyo kazi bila kukata umeme kweli?
Sababu ya waziri sio hiyo. Lakini pia hizo nguzo zinabadilishwa nchi nzima?? Maana umeme unakatika karibu mikoa yote kwa masaa tofauti.
Pia hizo nguzo za zege hazijaanza leo kubadilishwa
 
Makamba kazingua hapo...repair ya machine inaenda kwa schedule sio propaganda
Huyo anajua hata schedule? Ni mpuuzi mmoja tu anajifanya smart hamna kitu! Hilo jimbo tu lenyewe ukifika hakuna alilofanya! Bumbuli ni mbumbumbu kweli kweli huyu!
 
Inawezekana hajui kuwa repair inaweza kufanyika hata bila kukata umeme.
Tunavyoomgea hivi sasa hapa tunduma umeme umekatika! Yaani sijui shida ni nini? Yaani huyu makamba mtu wa buraaburaa anaanza kumsingizia Magufuli na Kalemani inamaana anataka kusema yeye yuko smart zaidi ya Magufuli na Kalemani?
 
Fuckin twat ungemshauri Makamba anunue hizo live line tools instead of blahblah zake you battybwoy.
 
Safi kabisa mkuu akikujibu unitag!! Loooo.
Kipindi cha Kikwete vyanzo vilikuwa vichache Kikwete kajitahidi akaongeza chanzo kipya bomba la gesi mtwara/Dar mwishoni mwa utawala wake ndio sababu ya kupungua ukatikaji wa mala kwa mala wa umeme kipindi cha Magufuli
 
Kifo cha JPM nina wasi wasi na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…