Wewe ndio taahira kabisa!makamba yupo sahihi
ili ufanye PM ni lazima ukate umeme kwanza
Sasa kipindi cha yule taahira,kufanya PM haiwezekani maana kila mtu anaogopa kufukuzwa
Hivyo sasa hivi lazima wafanye PM
Na kata za umeme nyingi sasa hivi ni Preventive Maintenance works
Acheni umang'aa
Sasa hapo huoni kama wewe ndio una harisha?Taahira mimi au wewe/
Unajua maana ya PM kwanza?
Hujui
Ni hivi bwana,ukitaka kufanya PM wakati umeme ni live unatakiwa uwe na vifaa vinavyoitwa "Live Line Equiments"...koti moja ni milioni 12...viatu vyake pair moja ni milioni 22.Na hapo bado gari la liveline,mikasi,accessories,gloves,ngazi zake,tool box zake,etc
Tanesco haina hivyo vifaa hivyo...vipo vichache wanatumia kwa line kubwa tu huko kwenye gridi za 132,220 na 400kV
Hakuna hivyo vifaa!
Huku chini wanafanya PM kwa kukata umeme tu maana hakuna namna!
Halafu unakuja hapa unaharisha kama magufuli,yaani wewe na yeye na vichaa wenzio sijui akili mnatupaga chooni
Ndio maana limekufa!
Huko kwenu USA wakifanyaga repair mnakaaga kwenye giza you fuckin bloodclaat.makamba yupo sahihi
ili ufanye PM ni lazima ukate umeme kwanza
Sasa kipindi cha yule taahira,kufanya PM haiwezekani maana kila mtu anaogopa kufukuzwa
Hivyo sasa hivi lazima wafanye PM
Na kata za umeme nyingi sasa hivi ni Preventive Maintenance works
Acheni umang'aa
Do not change the goal post at the middle of the game otherwise, we cannot reach our goal. I am out of this.Tuache awamu ya mwendazake turudi tena nyuma, JK nae alikuwa akichukua hizo pesa za mashirika na kuzipeleka hazina? Nae alikuwa hafanyi repair?
Wacha inyeshe tujue panapovuja mkuu,mfano kuna hili swala utoaji wa nguzo za zamani na kuweka hizi mpya za zege,sasa watu wafanye hiyo kazi bila kukata umeme kweli?Leo Mh. Makamba kupitia account yake alikuwa akijibu suala la umeme kukatika. Lakini majibu yake yamejaa walakini.
Makamba anasema umeme zamani ulikuwa haukatiki kwa sababu watu walikuwa na hofu ya kufukuzwa hivyo walihakikisha umeme haukatiki, hali iliyopelekea kutofanya rapair.
Sasa hivi mfumo wa ugavi umechoka na ndio maana umeme unakatika Sana. Hivyo wanafanya rapair ili kuondoa huo uchakavu wa mfumo.
Bado hajasema utachukua muda gani hadi hizo repair kuisha na umeme kuacha kukatika.
Makamba ameonyesha kwamba kukatika umeme ni sawa kabisa na ni haki yetu, ndio maana anasema tulishangilia umeme ulipokuwa haukatiki huku mfumo ukiwa umechoka.
Lakini pia mheshimiwa unataka kusema huo mfumo kipindi chote cha jiwe mwendazake uliacha kuchoka ukawa unakusubiri wewe kuwa waziri ili uanze kuchoka?
Mheshimiwa wewe ukiwa kama binadamu wengine una tabia ya kusahau, Ila internet haisahau.
Mwezi uliopita September 17, ulikuwa na kikao na Tanesco na ukawapa wiki mbili umeme kuacha kukatika la sivyo utawafukuza.
Leo umesahau? Wiki mbili zimepita na sasa ni zaidi ya mwezi, bado tatizo lipo na wewe umekiri mwenyewe.
Mh. Makamba watu wanachotaka umeme uwepo muda wote ili shughuli zao ziende, hizo sababu zingine haziwahusu sana maana zipo ndani ya uwezo wenu.
View attachment 1990619
View attachment 1990620
Angeacha Tanesco wajijibieLeo Mh. Makamba kupitia account yake alikuwa akijibu suala la umeme kukatika. Lakini majibu yake yamejaa walakini.
Makamba anasema umeme zamani ulikuwa haukatiki kwa sababu watu walikuwa na hofu ya kufukuzwa hivyo walihakikisha umeme haukatiki, hali iliyopelekea kutofanya rapair.
Sasa hivi mfumo wa ugavi umechoka na ndio maana umeme unakatika Sana. Hivyo wanafanya rapair ili kuondoa huo uchakavu wa mfumo.
Bado hajasema utachukua muda gani hadi hizo repair kuisha na umeme kuacha kukatika.
Makamba ameonyesha kwamba kukatika umeme ni sawa kabisa na ni haki yetu, ndio maana anasema tulishangilia umeme ulipokuwa haukatiki huku mfumo ukiwa umechoka.
Lakini pia mheshimiwa unataka kusema huo mfumo kipindi chote cha jiwe mwendazake uliacha kuchoka ukawa unakusubiri wewe kuwa waziri ili uanze kuchoka?
Mheshimiwa wewe ukiwa kama binadamu wengine una tabia ya kusahau, Ila internet haisahau.
Mwezi uliopita September 17, ulikuwa na kikao na Tanesco na ukawapa wiki mbili umeme kuacha kukatika la sivyo utawafukuza.
Leo umesahau? Wiki mbili zimepita na sasa ni zaidi ya mwezi, bado tatizo lipo na wewe umekiri mwenyewe.
Mh. Makamba watu wanachotaka umeme uwepo muda wote ili shughuli zao ziende, hizo sababu zingine haziwahusu sana maana zipo ndani ya uwezo wenu.
View attachment 1990619
View attachment 1990620
Mkuu suala langu lilikuwa, huo uchakavu anaouzungumzia ulikuwa unamsubiri tu yeye awe waziri?makamba yupo sahihi
ili ufanye PM ni lazima ukate umeme kwanza
Sasa kipindi cha yule taahira,kufanya PM haiwezekani maana kila mtu anaogopa kufukuzwa
Hivyo sasa hivi lazima wafanye PM
Na kata za umeme nyingi sasa hivi ni Preventive Maintenance works
Acheni umang'aa
Sababu ya waziri sio hiyo. Lakini pia hizo nguzo zinabadilishwa nchi nzima?? Maana umeme unakatika karibu mikoa yote kwa masaa tofauti.Wacha inyeshe tujue panapovuja mkuu,mfano kuna hili swala utoaji wa nguzo za zamani na kuweka hizi mpya za zege,sasa watu wafanye hiyo kazi bila kukata umeme kweli?
Huyo anajua hata schedule? Ni mpuuzi mmoja tu anajifanya smart hamna kitu! Hilo jimbo tu lenyewe ukifika hakuna alilofanya! Bumbuli ni mbumbumbu kweli kweli huyu!Makamba kazingua hapo...repair ya machine inaenda kwa schedule sio propaganda
Tunavyoomgea hivi sasa hapa tunduma umeme umekatika! Yaani sijui shida ni nini? Yaani huyu makamba mtu wa buraaburaa anaanza kumsingizia Magufuli na Kalemani inamaana anataka kusema yeye yuko smart zaidi ya Magufuli na Kalemani?Inawezekana hajui kuwa repair inaweza kufanyika hata bila kukata umeme.
Fuckin twat ungemshauri Makamba anunue hizo live line tools instead of blahblah zake you battybwoy.Maiti wewe
USA wana "Live Line Tools"...na kiwanda maalumu kabisa cha hizo tools worldwide kipo Connecticut,Hubbel&Chance!
Tanesco hakuna ,wanazo chache wanatumia kwa line za grid pekee yake
Sasa wewe unadhani huko kwenu mavi kunuka kwa Mpalange Tanesco ije na Liveline tools ili eti usikatiwe umeme?
Like really?
Mtu mwenyewe hasara tupu umeme umeletewa kwa msaada tu.Tanesco imetumia bilioni 12 kuleta umeme eneo lenu la Kwa Mpalange,hivi kwa viumeme vyenu vya 2000 au 1000 luku,lini mtarudisha hiyo bilioni 12 maiti nyie nyote?
Shut your butt up!
Kipindi cha Kikwete vyanzo vilikuwa vichache Kikwete kajitahidi akaongeza chanzo kipya bomba la gesi mtwara/Dar mwishoni mwa utawala wake ndio sababu ya kupungua ukatikaji wa mala kwa mala wa umeme kipindi cha MagufuliSafi kabisa mkuu akikujibu unitag!! Loooo.
Mnapata faida gani kutetea ujingaPamoja na icho chanzo bado umeme hautoshi ndio maana Magufuli anaongeza chanzo kingine cha umeme wa maji
Kifo cha JPM nina wasi wasi na weweLeo Mh. Makamba kupitia account yake alikuwa akijibu suala la umeme kukatika. Lakini majibu yake yamejaa walakini.
Makamba anasema umeme zamani ulikuwa haukatiki kwa sababu watu walikuwa na hofu ya kufukuzwa hivyo walihakikisha umeme haukatiki, hali iliyopelekea kutofanya rapair.
Sasa hivi mfumo wa ugavi umechoka na ndio maana umeme unakatika Sana. Hivyo wanafanya rapair ili kuondoa huo uchakavu wa mfumo.
Bado hajasema utachukua muda gani hadi hizo repair kuisha na umeme kuacha kukatika.
Makamba ameonyesha kwamba kukatika umeme ni sawa kabisa na ni haki yetu, ndio maana anasema tulishangilia umeme ulipokuwa haukatiki huku mfumo ukiwa umechoka.
Lakini pia mheshimiwa unataka kusema huo mfumo kipindi chote cha jiwe mwendazake uliacha kuchoka ukawa unakusubiri wewe kuwa waziri ili uanze kuchoka?
Mheshimiwa wewe ukiwa kama binadamu wengine una tabia ya kusahau, Ila internet haisahau.
Mwezi uliopita September 17, ulikuwa na kikao na Tanesco na ukawapa wiki mbili umeme kuacha kukatika la sivyo utawafukuza.
Leo umesahau? Wiki mbili zimepita na sasa ni zaidi ya mwezi, bado tatizo lipo na wewe umekiri mwenyewe.
Mh. Makamba watu wanachotaka umeme uwepo muda wote ili shughuli zao ziende, hizo sababu zingine haziwahusu sana maana zipo ndani ya uwezo wenu.
View attachment 1990619
View attachment 1990620
Kwa hiyo mitambo ilikuwa inasubiri bwn marope ili ichoke!!??
una akili sawa sawa kweli ww!?
Nchi imeingia mikono isiyo salamaIlikua inasubiri bwana Marope aje kupiga hela za Luku kwa kisingizio cha mitambo imechoka