January vipi huko kwenu?

January vipi huko kwenu?

Joannah

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2020
Posts
20,921
Reaction score
49,014
Wasalaam,

Eti jamani huko kwenu vipi January imesha tayari?sie huku ndio tunafika ukingoni. Huku kwetu kila mtu analalamikia huu mwezi,yaani full lawama, eti ni mwezi mgumu sana,watu

Ni mwendo wa ndondo mixer kabeji ukiuliza kuna nini kwani mbona ratiba za mezani hazieleweki majibu Ni yaleyale mwezi mgumu Sana,kila jirani namsikia akilia wimbo huo huo sasa nikawa najiulizia hivi.

1. Kwanini January ionekane ni mwezi mgumu kuliko yote kisa tunalipa Ada za watoto, mbona shule ya mwanangu Mimi nalipa Ada karibu mwaka mzima kwa installment,au Kuna shule zinalipa pesa yote January?

Kuna mtu atasema ni kwa sababu December tumetoka holiday, kwa hili sioni kama kuna ukweli maana familia chache ndio zina utaratibu wa kwenda vacation December, na familia nyingi hazina huu utaratibu Sasa tuseme pilau za Xmas ndio zimeleta majanga? sio kweli.

2. Kuna baadhi yetu watoto wetu wanasoma public school hawalipi Ada, lakini wimbo wetu ni uleule January ngumu sana hii sasa ni kuuonea huu mwezi.

3. Hivi Nyie wenzetu mliwahi ishi nchi mbali mbali na huko nako January ni Kama huku? Au sie Tanzania January yetu imekuwa Kali Sana?

Basi nisiwachoshe wananchi,Ila tukipata muda tutafakari na tujipange na na tuwe na utaratibu kujiandaa mapema kukabiliana na huu mwezi.

Tuwe na utamaduni wa kufanya budget za Ada mapemaaaa maana suala la Ada sio suala la ghafla, hii itatusaidia kupunguza hivi vilio vya January na tutauona huu mwezi kama miezi mingine, maana tumeupa Kiki Sana.

Tuwe na siku njema.
 
Una umri gani? Unaelewa kwamba December matajiri wanafunga hesabu wanakwenda holiday?

Unafahamu kwamba wazungu wote original December wanarudi kwao kwa ajili ya mapumziko ya Christmas na mwaka mpya?

Unafahamu kwamba maisha ya Watanzania wengi ni ya kuungaunga wanategemeana?

Unaelewa ni kwa nini Magufuli alipowaletea roho mbaya matajili mambo yakawa magumu mpaka mtaani?

Ukiweza kuyajuwa hayo ndio utajuwa ni kwa nini January ni ngumi.

By the way mimi mtaani kwetu watu utadhani ni freemason, pub zinafunga nyomi daily.
 
Una umri gani? Unaelewa kwamba December matajiri wanafunga hesabu wanakwenda holiday?

Unafahamu kwamba wazungu wote original December wanarudi kwao kwa ajili ya mapumziko ya Christmas na mwaka mpya?

Unafahamu kwamba maisha ya Watanzania wengi ni ya kuungaunga wanategemeana?

Unaelewa ni kwa nini Magufuli alipowaletea roho mbaya matajili mambo yakawa magumu mpaka mtaani?

Ukiweza kuyajuwa hayo ndio utajuwa ni kwa nini January ni ngumi.

By the way mimi mtaani kwetu watu utadhani ni freemason, pub zinafunga nyomi daily.
Nina miaka 53 na ushee.

Kwa maana hii Watanzania wengi uchumi wetu tunategemea wazungu ambao December kimsingi wanaenda kula Xmass🤔🤔🤔🤔🤔

Nafahamu ndio Maisha ya watanzania Ni kuungaunga mbona mwezi wa Saba wakilipa Ada hawalalamiki?au ndio kwa sababu matajiri wanakuwa hawajaenda huko holiday??Basi sawa nimekulewa Asante kwa mchango.

Huko mtaani kwenu ndio wapi pataje watu tupajue na sie
 
Inawezekana hali ya huo mwezi iko hivyo........ndo maana wengine wanasema jumanne siyo siku poa.
Niliwahi panda bajaji nikimharakisha dereva aongeze mwendo ili niwahi naye kwa kujiamini alinijibua kuwa leo ni Jumanne usiwe na hofu kaka hakuna foleni, tunawahi vizuri.

Nilipomdadisi zaidi akaniambia hata kwenye mahesabu siku ya Jumanne ipo 'slow'..

Najua havina uhusiano ila ndo wabongo washachagua kuamini..
 
Sijui ni kwanin baadhi ya watu wamekuwa na malalamiko kuhusu mwezi January

Kwangu mim January naona ni mwezi wa kawaida kama miez mingine tuu na hii ni kwa sababu ya namna mtu unavyo pangilia mipango yako, unavyo pangilia mzunguko wa pesa yako na matumiz pia, ukiweza kufanya hayo yoote huwez kuulalamikia mwez January

Pia vijana tufanye kaz na tuache kufata mkumbo wa kulalamikia mwez January, unakuta mtu hana kaz anayofanya hajichanganyi huku na huku kutafuta kipato kazi ni kuiga tuu mwez mgumu mwez mgumu
Tufanye kaz haya yote yatakuwa historia
 
Wasalaam,

Eti jamani huko kwenu vipi January imesha tayari?sie huku ndio tunafika ukingoni.Huku kwetu kila mtu analalamikia huu mwezi,yaani full lawama,eti ni mwezi mgumu sana,watu

Ni mwendo wa ndondo mixer kabeji ukiuliza kuna nini kwani mbona ratiba za mezani hazieleweki majibu Ni yaleyale mwezi mgumu Sana,kila jirani
Mauaji, mauaji ya raia wema
 
Umasikini na kuiga iga ndio chanzo. Kwanini ikifika December ndio uishi pretentious lifestyle? What's the difference between huo mwezi na miezi mingine?

Mimi naamini kabisa hayo maisha wanaishi watu maskini na ndio maana huwa wanaishia kuteseka.

Watu wenye hela zao huwa hawana mbwembwe eti sijui Christmas na ujinga mwingine. Kwao kila siku ni siku yakufurahia maisha hawana haja ya kusubiri mwezi fulani.

So huwezi kukuta mtu kama huyo analalamika eti January ngumu kisa ali overspend December.
 
Wasalaam,

Eti jamani huko kwenu vipi January imesha tayari?sie huku ndio tunafika ukingoni. Huku kwetu kila mtu analalamikia huu mwezi,yaani full lawama, eti ni mwezi mgumu sana,watu

Ni mwendo wa ndondo mixer kabeji ukiuliza kuna nini kwani mbona ratiba za mezani hazieleweki majibu Ni yaleyale mwezi mgumu Sana,kila jirani namsikia akilia wimbo huo huo sasa nikawa najiulizia hivi.

1. Kwanini January ionekane ni mwezi mgumu kuliko yote kisa tunalipa Ada za watoto, mbona shule ya mwanangu Mimi nalipa Ada karibu mwaka mzima kwa installment,au Kuna shule zinalipa pesa yote January?

Kuna mtu atasema ni kwa sababu December tumetoka holiday, kwa hili sioni kama kuna ukweli maana familia chache ndio zina utaratibu wa kwenda vacation December, na familia nyingi hazina huu utaratibu Sasa tuseme pilau za Xmas ndio zimeleta majanga? sio kweli.

2. Kuna baadhi yetu watoto wetu wanasoma public school hawalipi Ada, lakini wimbo wetu ni uleule January ngumu sana hii sasa ni kuuonea huu mwezi.

3. Hivi Nyie wenzetu mliwahi ishi nchi mbali mbali na huko nako January ni Kama huku? Au sie Tanzania January yetu imekuwa Kali Sana?

Basi nisiwachoshe wananchi,Ila tukipata muda tutafakari na tujipange na na tuwe na utaratibu kujiandaa mapema kukabiliana na huu mwezi.

Tuwe na utamaduni wa kufanya budget za Ada mapemaaaa maana suala la Ada sio suala la ghafla, hii itatusaidia kupunguza hivi vilio vya January na tutauona huu mwezi kama miezi mingine, maana tumeupa Kiki Sana.

Tuwe na siku njema.
Kilingeni hali ilikuwa ngumu sana wateja walikuwa ni wale wakutaka walimu wasahau kudai ada.. Na wanafunzi waliotaka u monitor[emoji31][emoji2827]
 
Una umri gani? Unaelewa kwamba December matajiri wanafunga hesabu wanakwenda holiday?

Unafahamu kwamba wazungu wote original December wanarudi kwao kwa ajili ya mapumziko ya Christmas na mwaka mpya?

Unafahamu kwamba maisha ya Watanzania wengi ni ya kuungaunga wanategemeana?

Unaelewa ni kwa nini Magufuli alipowaletea roho mbaya matajili mambo yakawa magumu mpaka mtaani?

Ukiweza kuyajuwa hayo ndio utajuwa ni kwa nini January ni ngumi.

By the way mimi mtaani kwetu watu utadhani ni freemason, pub zinafunga nyomi daily.
By the way mimi mtaani kwetu watu utadhani ni freemason, pub zinafunga nyomi daily.[emoji23]
 
Wengi wanaishi juu ya uwezo wao. Lifestyle juu ya uwezo wao. Shule wanazopeleka watoto ziko juu ya uwezo wao ndio maana kipindi cha Ada ni mateso.
Well said Kaka...hili nalo limekuwa Ni tatizo sugu?
 
Kilingeni hali ilikuwa ngumu sana wateja walikuwa ni wale wakutaka walimu wasahau kudai ada.. Na wanafunzi waliotaka u monitor[emoji31][emoji2827]
😂😂😂Wazazi walisahau kuweka Ada wakakimbilia kuendelea kuzipunguza kilingeni,wewe kazi yako Ni kuhakikisha unazitwanga mpaka akili ziwakae sawa
 
Back
Top Bottom