Japo Bondia Hassan Mwakinyo kashinda pambano dhidi ya Muargentina, bado anahitaji haya

Japo Bondia Hassan Mwakinyo kashinda pambano dhidi ya Muargentina, bado anahitaji haya

godson Lomayani

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
538
Reaction score
711
Nimefanikiwa kuliona pambano hilo lililofanyika jijini Nairobi,Kwa kweli mtifuano ulikuwa mzuri kwani Mabondia wote walikuwa wakishambuliana kwa zamu,hadi mzunguko wa 5 Hassan Mwakinyo alipofanikiwa kumlambisha sakafu Muargentina ambaye alishindwa kuendelea na game,that means ameshindwa kwa Technical Knockout. Mwakinyo anatakiwa kufanya yafuatayo ili kujiweka katika nafasi nzuri zaidi:
1.Afanye mazoezi sana ya upigaji ngumi,yaani mtoko wa ngumi uwe wa kasi kubwa kama afanyavyo Bondia Amir Khan.
2.Bondia Tonny Belew wa Uingereza, aliyekuwa anamnoa Mwakinyo ni wa Uzito wa juu, inatakiwa apate wa uzito wake ili aweze kufanya nae Sparring.
3.Afanye mazoezi kujenga muscles ili konde liwe zito.
4. Afanye mazoezi ya kukimbia ili kujenga pumzi ya kutosha.
5.Asimdharau mpinzani yoyote anayekabiliana nae.
6.Confidence
Akimudu kuyafanya hayo atakuwa miongoni mwa Mabondia wazuri sana katika nchi yetu,ataweza kupigana na kina Floyd Mayweather Jr, Miguel Coto,Shane Mosley, Zab Judah, Saul Alvarez Canelo.KEEP IT UP MWAKINYO NOTHING IS IMPOSSIBLE!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa jinsi nilivyoliona game ni kwamba kilichomsaidia Mwakinyo kwanza ni kumheshimu mpinzani wake,, pili ni uwezo mkubwa wa punching aliokuwa nao Mwakinyo,, kuanzia round ya 3 Mwakinyo alielekea kuishiwa pumzi kabisa hadi nikaanza kuondoa shilingi yangu kwake,, hongera kwake
Lakini hili la Wakenya kumshangilia zaidi mzungu limenifikirisha sana,,
 
Mwakinyo mzembe sana.. anaruhusu ngumi za uppercut zinamwingia moja kwa moja.. Kifupi alivyomtengua mwenzake bega ndio kilichomuokoa..
 
Kwa jinsi nilivyoliona game ni kwamba kilichomsaidia Mwakinyo kwanza ni kumheshimu mpinzani wake,, pili ni uwezo mkubwa wa punching aliokuwa nao Mwakinyo,, kuanzia round ya 3 Mwakinyo alielekea kuishiwa pumzi kabisa hadi nikaanza kuondoa shilingi yangu kwake,, hongera kwake
Lakini hili la Wakenya kumshangilia zaidi mzungu limenifikirisha sana,,
Mkuu wakenya sio watu wazuri kwetu...hili jambo tunalijua longtime....wana wivu kweli na sisi...wanaweza kuwa wametutangulia kwenye uchumi wa viwanda....but sisi tuna ardhi kubwa kushinda wao....is just a matter of time tukipata viongozi wazuri...Kenya watasubiri sana
 
Nimefanikiwa kuliona pambano hilo lililofanyika jijini Nairobi,Kwa kweli mtifuano ulikuwa mzuri kwani Mabondia wote walikuwa wakishambuliana kwa zamu,hadi mzunguko wa 5 Hassan Mwakinyo alipofanikiwa kumlambisha sakafu Muargentina ambaye alishindwa kuendelea na game,that means ameshindwa kwa Technical Knockout. Mwakinyo anatakiwa kufanya yafuatayo ili kujiweka katika nafasi nzuri zaidi:
1.Afanye mazoezi sana ya upigaji ngumi,yaani mtoko wa ngumi uwe wa kasi kubwa kama afanyavyo Bondia Amir Khan.
2.Bondia Tonny Belew wa Uingereza, aliyekuwa anamnoa Mwakinyo ni wa Uzito wa juu, inatakiwa apate wa uzito wake ili aweze kufanya nae Sparring.
3.Afanye mazoezi kujenga muscles ili konde liwe zito.
4. Afanye mazoezi ya kukimbia ili kujenga pumzi ya kutosha.
5.Asimdharau mpinzani yoyote anayekabiliana nae.
6.Confidence
Akimudu kuyafanya hayo atakuwa miongoni mwa Mabondia wazuri sana katika nchi yetu,ataweza kupigana na kina Floyd Mayweather Jr, Miguel Coto,Shane Mosley, Zab Judah, Saul Alvarez Canelo.KEEP IT UP MWAKINYO NOTHING IS IMPOSSIBLE!

Sent using Jamii Forums mobile app


Ngoja nilisake hilo pambano.
 
Nimefanikiwa kuliona pambano hilo lililofanyika jijini Nairobi,Kwa kweli mtifuano ulikuwa mzuri kwani Mabondia wote walikuwa wakishambuliana kwa zamu,hadi mzunguko wa 5 Hassan Mwakinyo alipofanikiwa kumlambisha sakafu Muargentina ambaye alishindwa kuendelea na game,that means ameshindwa kwa Technical Knockout. Mwakinyo anatakiwa kufanya yafuatayo ili kujiweka katika nafasi nzuri zaidi:
1.Afanye mazoezi sana ya upigaji ngumi,yaani mtoko wa ngumi uwe wa kasi kubwa kama afanyavyo Bondia Amir Khan.
2.Bondia Tonny Belew wa Uingereza, aliyekuwa anamnoa Mwakinyo ni wa Uzito wa juu, inatakiwa apate wa uzito wake ili aweze kufanya nae Sparring.
3.Afanye mazoezi kujenga muscles ili konde liwe zito.
4. Afanye mazoezi ya kukimbia ili kujenga pumzi ya kutosha.
5.Asimdharau mpinzani yoyote anayekabiliana nae.
6.Confidence
Akimudu kuyafanya hayo atakuwa miongoni mwa Mabondia wazuri sana katika nchi yetu,ataweza kupigana na kina Floyd Mayweather Jr, Miguel Coto,Shane Mosley, Zab Judah, Saul Alvarez Canelo.KEEP IT UP MWAKINYO NOTHING IS IMPOSSIBLE!

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeamua tu kuandika,na mm naamua tu kusoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwakinyo mzembe sana.. anaruhusu ngumi za uppercut zinamwingia moja kwa moja.. Kifupi alivyomtengua mwenzake bega ndio kilichomuokoa..
Yeah uko sawa; kweli ktk round za mwanzo Mwakinyo alizembea sana na kuruhusu upper cuts, nadhani trainer wake alimwambia ajiongeze. Uzuri Mwakinyo ana reach nzuri na ilimsaidia kumtoa opponent wake. Aliruhusu Gonzalez amkaribie sana kitu ambacho ni nadra kwa Heavy weight champions kama Lennox Lewis au Wladimir Klitschko. Hawa wawili wakichagundua kuwa wewe ni threat kwao, hutumia reach zao na jabs zenye madhara makubwa kadri rounds zinavyokwenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom