Japo hakuna ajuaye sababu za kutwaliwa kaka, isipokuwa yeye, kuna watu saw it coming, wakasema, wakapuuzwa, akatwaliwa. Dada ukisikia usipuuze hili

Kuna thread nmeisoma humu japo wiki zilizopita..niseme kiti kinadai kimiminika nyekundu
 
Bahati mbaya binadamu tunasahau haraka sana, Kama yake Pascal Mayalla alijua kupuuza mambo, yakamkuta yaliyomkuta!
Dada yake Pascal angetua jahazi baada ya kaka yao kuondoka,angekuwa mahali salama sana, lakini kwa uroho huu wa madaraka ameongeza intensity ya hasira kwa wanaoamini kwamba kaka alitwaliwa “kinamna”
 
Tena?!
 
Nyooooo nakunywa zangu supu ya kongoro hapa Mbuzi online Mbezi , nasema tena 2025 haendi mtu
 
Si mchezo huyo ndio Mayalla
Nilipokusoma hivi nikakumbuka kiongozi wa Chama cha Congress wakati huo cha India anayeitwa Sonia Gandhi alipokiongoza Chama hicho na kushinda uchaguzi mwaka 2004 na kukataa kuongoza nchi kama Waziri Mkuu akidai anatii sauti ya ndani mwake - "heeding to my inner voice!".
 
Na afanye InshaAllah
 
Kama ni kweli hilo tukio litawezekana basi
huo utaratibu wa kutwaliana utakuwa ni mtindo endelevu!

Nini sasa kifanyike kuondoa huu utaratibu wa umwagaji damu kwa viongoz wetu waliolewa madaraka?
KUHUSIANA NA WASIWASI...

Hili ndilo litowe mwangaza wa uzuri ama ubaya wa 'Viapo' kwa shauri ambalo ni 'tata'...

Ikiwa kuna kitu kwenye Katiba siyo kamilifu khasa, maana yake mtu yeyote mwenye kiapo anaishi na mtego mzito kwa maisha yake binafsi.

Ikiwapo pana shauri kwenye katiba linaweza kutafsiriwa kana 'siyo kamilifu' basi busara ya mtu yeyote mwenye dhamana, dhamana yenye kuguswa na hilo shauri, inahitajika sana tena pasipo kutegemea mashauri ama/na maamuzi ya watu baki...

Kwa kuwa ni wito na wajibu kwa raia yeyote mwema kuweka mbele maslahi ya taifa, kupita hata shauku binafsi--kuyashinda majaribu yote ya kiutu kupitia utashi...

Kwa kuwa, ikiwa unajua kuna shauri kama vile 'linaelea' kwenye katiba--maana yake haujaliona pekee yako, kuna wengine wengi wanaliona hilo lakini hawalazimiki 'kulijadilijadili sana'...

Kipengele cha 'Rais' kufariki na 'Makamu kuchukua nafasi' na kuendelea na madaraka kwa sura fulani... kina 'Dosari ya Kiufundi' inayoweza kuleta 'vishawishi na majaribu'--lakini Je, ni nani ajuaye?.

Lakini sote tunawajibu wa kuitetea na kulinda katiba hadi hapo tutakapojenga maelewano ya 'kulirekebisha hilo' ama vipi...

Lakini kwa wenye viapo vya dhamana ya utumishi wa umma, hili kweli kabisa ni jambo zito linalofungamanisha 'uadilifu', 'maadili' na 'miiko' katika kujisimamia UTU wako na dhamira yako juu ya mfumo wa sura ya nchi, watu na tawala.

Kuna namna, kukosa upeo wa kujadili fikra ama/na mawazo, na kupendelea kujadili 'Watu' na 'matukio' si jambo jema kwa 'kheri ya wanajamii'.

Hili la kushauriana kuhusiana na labda kipengele fulani kinacholeta uwalakini linazungumzika wakati wote...

Labda kuna namna likizungumzika vizuri na umma pasipo sintofahamu, ushabiki na uchawa na 'kuombeana mabaya' kila kitu kinaweza kwenda shwari tu ikiwa kila mtu anawajibika na mzigo wake kiufahamu na utambuzi...

FAIR ENOUGH
 
Umenena vyema sana mkuu, ndaga fijo.
 
Pascal,hii imekaaje maana nasikia ameombewa ulinzi
 

Attachments

  • 5949685-f91f632d6352fa8c3e96bc8e0ddbd5b2.mp4
    24.7 MB
Hamna lolote ni majungu na uchawi wenu tu. Huyo kaka yako yaliompata ni kwa sababu aliwachukiza wenye dunia yao haswa kwenye suala la Covid 19, waliona anataka kuwaumbua. Na mipango yote ya kumkimbiza kaka yako ilifanyikia hapo kwenye nchi jirani kanakowasaidia M23. Lakini bongo na wanabongoland hawana balls zozote za kuweza kudeal na dada yako. Miaka 5 tena kwa dadaake.
 
Hujasema Anachopaswa kukisikia ni kipi hasa!!?je kitabu Cha itifaki ya nembo yake imekiukwa na hikua sahihi yeye kushika kijiti alichoshika au!!?

Hebu nieleweshe hapo kwa kina!
 
Kwahiyo huyu hajawaudhi Kwa kuwapa washindani wao resources!!?

Unafikiri CIA plus FBI plus M16 wanamfurahia Kwa kumpa mwarabu na mchina hiyo nafasi!!?
 
Mkuu umepatwa na nini kwa andiko hili? Pambana na shughuli zako mkuu, kuna level ya mtu akifika ,liwe jambo jema akiambiwa as far limetoka kwa kapuku haliwezi zingatiwa , bali tu likisemwa na kilaza as far as ndo amemzunguka atalisikia liwe la kumpeleka chaka au la , so mkuu ,sio kwa ubaya pambana na shughuli zako.
 
Hii inapigia msumari uzi!kwani mmepanga nini!!?
 
Hii kweli ya kiutuuzima,asikiaye na asikie na asomaye na aelewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…