Japo hakuna ajuaye sababu za kutwaliwa kaka, isipokuwa yeye, kuna watu saw it coming, wakasema, wakapuuzwa, akatwaliwa. Dada ukisikia usipuuze hili

Loh!
 
Acha pombe mzee
 
Nyie wahaini inatakiwa mkamatwe haraka
 
Waliokaa kimya japo wanaona kinacho endelea waendelee kula gundi hivyo hivyo ili limkute jambo Kwa jinsi dada yako alivyokua mtu wa hovyo nasubiria kwa hamu sana hiyo siku ifike nikiwa hai lazima niangushe kitimoto upande mzima walahi
 
Hili ni bandiko la kumhusu yule Kaka yangu, aliyetwaliwa.
Unganisha nukta...................






 
HAO WENYE JICHO LA TAI, WALIOCHAGUA KUKAA KIMYA, KUNYAMAZA NA WASIMWAMBIE DADA..HAO NDIO WAZALENDO HALISI WA FAMILIA YETU.
 
... YEYE ajali yake na afanye YAKE!
WE'RE A PEOPLE FREE FROM SUPERSTITIONS!
NB: ... kila kukicha YEYE, na MIMI itakuwa lini?
 
Mkuu, kwa nini unaamini kwamba atakuwa Rais 2025? Una maana hiyo kura yako moja itatosha kumuingiza Ikulu tena? 😲
CCM inawanachama hai million 20 hao pekee wanatosha kuhalalisha ushindi
 
Kiufupi utajiri na madaraka huwa vinalevya na kupofusha wengi kwa hiyo anaweza asielewe au asikuelewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…