marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,019
- 1,824
Hakuna mchezaji ulioumiza kama wa Eden Hazard kutoka Chelsea kwenda kwenye viunga vya Madridi,umeumiza mno
.
Ni shabiki gani leo wa Chelsea aliyesahau uwepo wake? Kila niliyemsikia pale OT alikuwa akinong'ona, daah! Hazard angekuwepo!!
.
Kuna wakati timu ilihitaji dribbling zake kuanzia kati kwenda mbele,kuanzia pembeni kulifuata goli. Chelsea ilikua imara sana ilipokuwa nae,mikimbio yake pale uwanjani inaogopesha mno,
Wakati mwingine spirit yake ya kupambana ilihamasisha wenzie na kufosi kutafuta goli.
.
Leo mabeki wa Utd walikosa zile thoruba zake,walikuwa wabunifu mno na hii ni kutokana na kukosa ghasia,
Nina hakika Hazard sio pengo kwa Chelsea pekee ila #epl nzima imepoteza mtu aliyejua kuutia chachandu utamu soka.
.
Kalamu yangu imeisha wino ila nenda Hazard uwe na msimu bora,tukutane UEFA
.
Ni shabiki gani leo wa Chelsea aliyesahau uwepo wake? Kila niliyemsikia pale OT alikuwa akinong'ona, daah! Hazard angekuwepo!!
.
Kuna wakati timu ilihitaji dribbling zake kuanzia kati kwenda mbele,kuanzia pembeni kulifuata goli. Chelsea ilikua imara sana ilipokuwa nae,mikimbio yake pale uwanjani inaogopesha mno,
Wakati mwingine spirit yake ya kupambana ilihamasisha wenzie na kufosi kutafuta goli.
.
Leo mabeki wa Utd walikosa zile thoruba zake,walikuwa wabunifu mno na hii ni kutokana na kukosa ghasia,
Nina hakika Hazard sio pengo kwa Chelsea pekee ila #epl nzima imepoteza mtu aliyejua kuutia chachandu utamu soka.
.
Kalamu yangu imeisha wino ila nenda Hazard uwe na msimu bora,tukutane UEFA