Habari wakuu
Rejea kichwa cha uzi hapo juu.
Mimi msichana nimemaliza chuo ambapo mpaka dakika hii ajira zimekuwa ngumu kiasi kwamba nmekata tamaa ya kutimiza ndoto zangu za kuajiriwa.
Kinachoniuma zaidi baba yangu ana bajaj nne ambazo ameajiri watu ambao wanaendesha familia kwa kazi hiyo. Kutokana na mimi kuwa msimamizi wa biashara zake nimekumbana na mfanyakaz ambae ni msumbufu asiethamini ajira yake kiasi kwamba napata hasira maana kazi anayo ila anaichezea.wakati wengine tunahangaika kutafuta usiku na mchana.
Hilo jambo limenifanya nifikirie kwenda kuchukua course fupi ya udereva ili nichukue bajaj niiendeshe mwenyewe huku mzazi wangu akijipatia kipato chake kama kawaida maana nina uhakika hii kazi inalipa vizuri.
Nimeshaongea na baba japo ananionea huruma kama mzazi ila maamuzi makubwa yapo kwangu mwenyewe.
Kinachonikwamisha ni hali ya hii industry kutawaliwa na wanaume pekee.
Je sitaonekana mtu wa ajabu mtoto wa kike kuendesha bajaj?
Naombeni ushauri
Rejea kichwa cha uzi hapo juu.
Mimi msichana nimemaliza chuo ambapo mpaka dakika hii ajira zimekuwa ngumu kiasi kwamba nmekata tamaa ya kutimiza ndoto zangu za kuajiriwa.
Kinachoniuma zaidi baba yangu ana bajaj nne ambazo ameajiri watu ambao wanaendesha familia kwa kazi hiyo. Kutokana na mimi kuwa msimamizi wa biashara zake nimekumbana na mfanyakaz ambae ni msumbufu asiethamini ajira yake kiasi kwamba napata hasira maana kazi anayo ila anaichezea.wakati wengine tunahangaika kutafuta usiku na mchana.
Hilo jambo limenifanya nifikirie kwenda kuchukua course fupi ya udereva ili nichukue bajaj niiendeshe mwenyewe huku mzazi wangu akijipatia kipato chake kama kawaida maana nina uhakika hii kazi inalipa vizuri.
Nimeshaongea na baba japo ananionea huruma kama mzazi ila maamuzi makubwa yapo kwangu mwenyewe.
Kinachonikwamisha ni hali ya hii industry kutawaliwa na wanaume pekee.
Je sitaonekana mtu wa ajabu mtoto wa kike kuendesha bajaj?
Naombeni ushauri