Unataka kukiajili au kudanga???Habari wakuu
Rejea kichwa cha uzi hapo juu.
Mimi msichana nimemaliza chuo ambapo mpaka dakika hii ajira zimekuwa ngumu kiasi kwamba nmekata tamaa ya kutimiza ndoto zangu za kuajiriwa.
Kinachoniuma zaidi baba yangu ana bajaj nne ambazo ameajiri watu ambao wanaendesha familia kwa kazi hiyo. Kutokana na mimi kuwa msimamizi wa biashara zake nimekumbana na mfanyakaz ambae ni msumbufu asiethamini ajira yake kiasi kwamba napata hasira maana kazi anayo ila anaichezea.wakati wengine tunahangaika kutafuta usiku na mchana.
Hilo jambo limenifanya nifikirie kwenda kuchukua course fupi ya udereva ili nichukue bajaj niiendeshe mwenyewe huku mzazi wangu akijipatia kipato chake kama kawaida maana nina uhakika hii kazi inalipa vizuri.
Nimeshaongea na baba japo ananionea huruma kama mzazi ila maamuzi makubwa yapo kwangu mwenyewe.
Kinachonikwamisha ni hali ya hii industry kutawaliwa na wanaume pekee.
Je sitaonekana mtu wa ajabu mtoto wa kike kuendesha bajaj?
Naombeni ushauri
Asante sana mkuu hujui tu kwa kiasi gani ujumbe wako umenitia moyoMe naendesha scania,naenda Congo, Malawi,Burundi,.na nchi jirani tena muda huu niko tunduma naelekea Zambia,.. Nataka nikutie moyo tuu kuwa unaweza, jiheshimu na heshimu kazi yako,pia usifanye kazi hiyo mpaka usiku sana ili kuepuka hatari....Mungu akufanyie wepesi katika uthubutu wako.
Kila lenye kheri.
Ameeen,namm ndio nilikuwa nalitaka hili,..fanya sasa ilimradi huvunji sheria za nchi na utapata kipato chako halali basi Mungu mwenye nguvu atakulinda na kukupigania....Ubarikiwe happy,Asante sana mkuu hujui tu kwa kiasi gani ujumbe wako umenitia moyo
Nilishawahi kupata mwendeahabbida boda mwanamke.happiness001 Huwa natumia sana Bajaj, ukianza tu nipe namba yako ya simu nitakuwa abiria wako kila siku. Vile vile ungejaribu na bodaboda hakika utapata abiria wengi hasa wa kiume.
Duuuh!! Hongera sana wiiMe naendesha scania,naenda Congo, Malawi,Burundi,.na nchi jirani tena muda huu niko tunduma naelekea Zambia,.. Nataka nikutie moyo tuu kuwa unaweza, jiheshimu na heshimu kazi yako,pia usifanye kazi hiyo mpaka usiku sana ili kuepuka hatari....Mungu akufanyie wepesi katika uthubutu wako.
Kila lenye kheri.
Wewe endesha bila kujali utaonekanaje.
Ukianza nitumie namba yako nikuungishe
Itakuwa wewe ndio nilikukuta pale lonagro na kampuni moja sitaitaja.Me naendesha scania,naenda Congo, Malawi,Burundi,.na nchi jirani tena muda huu niko tunduma naelekea Zambia,.. Nataka nikutie moyo tuu kuwa unaweza, jiheshimu na heshimu kazi yako,pia usifanye kazi hiyo mpaka usiku sana ili kuepuka hatari....Mungu akufanyie wepesi katika uthubutu wako.
Kila lenye kheri.
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Akikutumia basi usisahau kuni fowadia na mm.
Wifi yako mm strong woman,.kaka hajakuambia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuuh!! Hongera sana wii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji123]ahsante mtakatifuItakuwa wewe ndio nilikukuta pale lonagro na kampuni moja sitaitaja.
Big up sana mama
Alinigusia kidogo sasa sikumuamini sana si wajua kaka ako mtu wa masikhara sanaWifi yako mm strong woman,.kaka hajakuambia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahhahaa kweli, mumeo masikhara mengii..Alinigusia kidogo sasa sikumuamini sana si wajua kaka ako mtu wa masikhara sana