Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Mwenyekiti Mstaafu wa Chadema, Freeman Mbowe amewezesha kitita kikubwa cha fedha ili kugharamia Kongamano la Wanawake la Kidunia lilioandaliwa na BAWACHA kwenye Ukumbi wa Mlimani City, D'Salaam.
Inatajwa kwamba Mwamba amechangia zaidi ya Sh mil 50 za Kitanzania
Kwa niaba ya Dunia Natoa Shukrani za Dhati kwa Freeman Mbowe kwa Moyo wake huu wa kutoa, Mungu amzidishie.
Inatajwa kwamba Mwamba amechangia zaidi ya Sh mil 50 za Kitanzania
Kwa niaba ya Dunia Natoa Shukrani za Dhati kwa Freeman Mbowe kwa Moyo wake huu wa kutoa, Mungu amzidishie.