Japokuwa Maumivu ya 5G ni makali Mno ila Wana Simba Tu Move On

Japokuwa Maumivu ya 5G ni makali Mno ila Wana Simba Tu Move On

babu onyango

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2023
Posts
378
Reaction score
984
Kile kipogo cha Nov 5 bado kipo akilini mwa wana Lunyasi wengi, Ukitaka kuthibitisha hilo angalia reaction yao kwny nyuzi za mechi za Yanga.

Niwaombe wana Simba wenzangu tukubali tuliteleza na pia Yanga kwa sasa wana timu nzuri zaidi yetu, kisha tusonge mbele.

Kuendelea kubishana nao ni kujisababishia magonjwa ya moyo tu bule.
 
Kile kipogo cha Nov 5 bado kipo akilini mwa wana Lunyasi wengi, Ukitaka kuthibitisha hilo angalia reaction yao kwny nyuzi za mechi za Yanga.

Niwaombe wana Simba wenzangu tukubali tuliteleza na pia Yanga kwa sasa wana timu nzuri zaidi yetu, kisha tusonge mbele.

Kuendelea kubishana nao ni kujisababishia magonjwa ya moyo tu bule.

Ahsante sana sana[emoji23][emoji23] [mention]OKW BOBAN SUNZU [/mention]
 
Kile kipogo cha Nov 5 bado kipo akilini mwa wana Lunyasi wengi, Ukitaka kuthibitisha hilo angalia reaction yao kwny nyuzi za mechi za Yanga.

Niwaombe wana Simba wenzangu tukubali tuliteleza na pia Yanga kwa sasa wana timu nzuri zaidi yetu, kisha tusonge mbele.

Kuendelea kubishana nao ni kujisababishia magonjwa ya moyo tu bule.
Ukitoa Ihefu, hatuna timu ya kutushinda hapa bongo NBCPL sisi wananchi ndio wababe NBCPL.

Nyie Simba ubabe wenu upo kule CAFCL, sisi wananchi hatuna ubabe wowote kule, huwa tunabamizwa sana CAFCL.
 
Well said! Mechi za Simba na Yanga haziamuliwi na form ya timu husika kwa wakati huo. Si ajabu round 2 Simba wakashinda kwa kishindi kuliko kile cha Kibu!
 
Simba alipofungwa tano aliangalia wapi alijikwaa Ila nyie mlipofungwa goli tano na Simba mlibaki kulialia mmehujumiwa. Hakuna bango lolote lililotengenezwa la Simba kutoa kipigo cha 5-0 Ila mnajifanya kujisahaulisha hamjawahi kufungiwa goli 6
 
Kuendelea kubishana nao ni kujisababishia magonjwa ya moyo tu bule.
Kubishana ni jadi, kulikuwapo hata kabla ya 5G ya mwaka jana. Nadhani kutobishana ndio litakuwa jambo jipya. By the way, hata wao wameishi na 5G muda mwingi tu, Je, waliacha kubishana?
 
Back
Top Bottom