Japokuwa simkubali Ndugai, lakini katika hili ameonewa na kudhalilishwa isivyo sahihi na Rais

Umenena vizuri tena kiungwana lakini usisahau dini zingine zinaruhusu kisasi tena wanasema ni halali. Ndugai hakuwa na sababu ya kuomba radhi kama alivyofanya Profesa Mkenda yupo tayari kwa lolote natumaini baraza jipya la mawaziri hatakuwemo kwani mama ni mtu wa visasi mtu wa majigambo mtu wa mipasho na yeye Mungu amembariki kwani anajua kila kitu.
 
Ndugai hakuomba radhi kwani kosa lake pia hajalijua. 1. Anaposema KAMA kuna mtu nimemkwanza.. maana yake haelewi alipokosea. 2. Hakuishia hapo aliendelea kuisingizia mitandao kuwa ndiyo imesababisha kutafsiriwa tofauti. 3. Aliyakiwa moja kwa moja kukiri kweli nimemkosea rais na wananchi naomba wanisamehe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…