Jaribio la bunge Uganda kulizima tamasha la 'Nyege Nyege' lapandisha mauzo ya tiketi

Jaribio la bunge Uganda kulizima tamasha la 'Nyege Nyege' lapandisha mauzo ya tiketi

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Waandaaji wa tamasha la muziki nchini Uganda la 'Nyege Nyege' wanasema jaribio la bunge la kupiga marufuku tamasha hilo kwa sababu ya wasiwasi kwamba linapotosha maadili limeongeza mauzo ya tiketi.

Tamasha hilo karibu na kingo za Mto Nile limevutia takriban watu elfu kumi na mbili, wengi wao kutoka nje ya nchi.

Tangazo la bunge kutaka tamasha hilo kusitishwa ni kama limesaidia kulitangaza zaidi. Waandaaji wanasema limeongeza mauzo ingawa hawajasema ni kwa kiasi gani.

Baadhi ya wale ambao wameelekea nchini Uganda kufurahia muziki wanasema walikuwa hawajasikia kuhusu tamasha hilo hadi wanasiasa walipoliweka kwenye vichwa vya habari kwa kutishia kulipiga marufuku.

Wabunge walisema litaendeleza vitendo viovu. Baadhi ya watoa maoni nchini Uganda walisema watunga sheria nchini humo labda hawakuwa na nafasi nzuri zaidi ya kujadili mada ya maadili.

BBC
 
Waandaaji wa tamasha la muziki nchini Uganda la 'Nyege Nyege' wanasema jaribio la bunge la kupiga marufuku tamasha hilo kwa sababu ya wasiwasi kwamba linapotosha maadili limeongeza mauzo ya tiketi.

Tamasha hilo karibu na kingo za Mto Nile limevutia takriban watu elfu kumi na mbili, wengi wao kutoka nje ya nchi.

Tangazo la bunge kutaka tamasha hilo kusitishwa ni kama limesaidia kulitangaza zaidi. Waandaaji wanasema limeongeza mauzo ingawa hawajasema ni kwa kiasi gani.

Baadhi ya wale ambao wameelekea nchini Uganda kufurahia muziki wanasema walikuwa hawajasikia kuhusu tamasha hilo hadi wanasiasa walipoliweka kwenye vichwa vya habari kwa kutishia kulipiga marufuku.

Wabunge walisema litaendeleza vitendo viovu. Baadhi ya watoa maoni nchini Uganda walisema watunga sheria nchini humo labda hawakuwa na nafasi nzuri zaidi ya kujadili mada ya maadili.

BBC
BASATA wana kinga zipi hasa kisheria hadi kuruhusu NYIMBO za kipumbavu "NIITE MMBWA" bila ya kushtakiwa?

Watoto wetu wanajifunza nini hasa wakiwa ndiyo Taifa la kesho?
 
Waandaaji wa tamasha la muziki nchini Uganda la 'Nyege Nyege' wanasema jaribio la bunge la kupiga marufuku tamasha hilo kwa sababu ya wasiwasi kwamba linapotosha maadili limeongeza mauzo ya tiketi.

Tamasha hilo karibu na kingo za Mto Nile limevutia takriban watu elfu kumi na mbili, wengi wao kutoka nje ya nchi.

Tangazo la bunge kutaka tamasha hilo kusitishwa ni kama limesaidia kulitangaza zaidi. Waandaaji wanasema limeongeza mauzo ingawa hawajasema ni kwa kiasi gani.

Baadhi ya wale ambao wameelekea nchini Uganda kufurahia muziki wanasema walikuwa hawajasikia kuhusu tamasha hilo hadi wanasiasa walipoliweka kwenye vichwa vya habari kwa kutishia kulipiga marufuku.

Wabunge walisema litaendeleza vitendo viovu. Baadhi ya watoa maoni nchini Uganda walisema watunga sheria nchini humo labda hawakuwa na nafasi nzuri zaidi ya kujadili mada ya maadili.

BBC
waganda wanapenda kunyegeka😀😀no wonder Ukimwi uliingilia huko
 
Back
Top Bottom