no hupewi pesa ila pilau itakuwepo nyumbani kwa mwenyekiti wa mtaa, ngoja tuitafutie fungu!Hivi ukishahesabiwa unalipwa sh ngapi vile??????
Wanafunzi wa kiislam Ndanda High school kule Masasi Mtwara waligomea mtihani wa kiadato cha sita Februari 2012. Wizara ya Shukuru Kawamba imewabembeleza warudie mtihani huo mwakani!walipanda wenyewe, watavuna wenyewe.
Nafikiri kuna kila sababu katika kugoma. Kama mtu anahisi kuonewa lazima apiganie haki yake.
Kwamfano kama NECTA inawaonea kundi flani, kwanini wasigomee national examinations? Yani Form IV exam wasitokee!
Hizo ndizo propaganda za misamaha ya kodi kwa taasisi za dini wakati taasisi ya Kiislam kupata msamaha wa kodi hadi kijasho nchembamba kitoke, taasisi za kikristo hata kwa simu. Unafikiri hata hizo hospitali na shule chache za waislamu wamepewa ngapi. Wakristo walirudishiwa vyao, waislamu hawakurudishiwa wakaambiwa jengeni! what injustice! tunaseme sio jengeni, serikali iache kupeleka fedha kwenye taasisi hizo,ijenge hospitali zake tumechoka kutibiwa kwa gharama kubwa kutoka kwenye hospitali zenu zenye misalaba na masanamu kila kona, we are tired
Waligoma au walisimamishwa? hebu tufafanulie.Wanafunzi wa kiislam Ndanda High school kule Masasi Mtwara waligomea mtihani wa kiadato cha sita Februari 2012. Wizara ya Shukuru Kawamba imewabembeleza warudie mtihani huo mwakani!
nimefurahi sana uliponyimwa kazi sababu hujajistiri .. no offense ..
thank u..!
If they think we don know our history,if they think we r stil wapenda ubwabwa like the way it was fabricated before,if they think we r running away from school,if they think we r stil fearin to talk n fight for what its ours then they hav to think again..!
Tumeskia,tumekubali na kwa moyo mmoja tumetiii,,,NO SENSA...!
We r not beneffiaciries of that Non sense...!
Hizo ndizo propaganda za misamaha ya kodi kwa taasisi za dini wakati taasisi ya Kiislam kupata msamaha wa kodi hadi kijasho nchembamba kitoke, taasisi za kikristo hata kwa simu. Unafikiri hata hizo hospitali na shule chache za waislamu wamepewa ngapi. Wakristo walirudishiwa vyao, waislamu hawakurudishiwa wakaambiwa jengeni! what injustice! tunaseme sio jengeni, serikali iache kupeleka fedha kwenye taasisi hizo,ijenge hospitali zake tumechoka kutibiwa kwa gharama kubwa kutoka kwenye hospitali zenu zenye misalaba na masanamu kila kona, we are tired
Hivi ukishahesabiwa unalipwa sh ngapi vile??????
Huu ufinyu wa fikra na ujinga ndiyo unaoifanya serikali isite kuweka kipengele cha dini kwenye dodoso la sensa. Maana kuna wajinga ambao wanahitaji hizo takwimu si kwa malengo ya maendeleo, bali kwa malengo mabaya ya kuendeleza udini katika nchi yetu.au mnaogopa waislam wakionekana wapo wengi huku wakiristo ndio waliotufisha hapa kwenye umaskini kwa kupeana vyeo makazini?
Waislamu ndani ya mfumo kristo? Malima kilichomkuta MoE unakijua? nitajie kiongozi wa NECTA muislamu aliyepita tokea baraza lianzishwe, Kwa nini wasifanyi uchunguzi 10yrs back ambao waislamiu wameomba na kuanika matokeo hadharani?
Ni wakati gani baada ya uhuru serikali imepanga maendeleo yake kufuatilia sensa?
Kama ni hivyo basi Tanga tayari imeshakwamishwa kimaendeleo kwa sababu sensa iliyofanyika 1988 wakazi wa Tanga ni millioni 1.5, sensa iliyofanyika miaka 14 baadae 2002 inaonyesha idadi ileile kuwa wakazi wa Tanga ni milioni 1.5!!
Maajabu ya Tanga hayo! lakini mikoa yenye Wakristo wengi idadi yao inaongezeka kila sensa inapofanyika!
Sensa is not for us!
'They' WHO?thank u..!
If they think we don know our history,if they think we r stil wapenda ubwabwa like the way it was fabricated before,if they think we r running away from school,if they think we r stil fearin to talk n fight for what its ours then they hav to think again..!
Tumeskia,tumekubali na kwa moyo mmoja tumetiii,,,NO SENSA...!
We r not beneffiaciries of that Non sense...!
Mipasho style .... yani upoteze nguvu na resources kumjibu mjinga??!!Mufti ISSA SIMBA alisema siku ya hotuba yake ya EID songea kwamba sio kazi ya serikali kuhesabu waislamu bali ni kazi ya misikiti kujua idadi ya waumini wao na akasisitiza kwamba wakianzia na songea kuhesabu na kwenda nchi nzima. Alisema waislamu wana nafasi ya kuanzisha register yao.
pia alisema ana mashaka ya suala la kuhesabu waislamu kama litafanywa na serikali ambayo baadhi ya waislamu wanasema hawana imani nayo akataka kujua inawezekana vipi kumpa kazi ya kuhesabu waislamu mtu anayeitwa serikali wakati huna imani naye?
kisha akamaliza kwa kusema, kuna Redio imeanzishwa inatukana wengine( nahisi ni redio imani ya dhehebu la answar sunna) kwani haichagua inatukana nani awe mkristo au mwislamu (bakwata). Akauliza waislamu waliokuwa wanamsikiliza kwa nini na sisi tusianzishe redio ya kuwajibu, wakaitikia ndioooooooo sawaaaaaaaaaaaa.
ndo usilalamikie wakristo sasa,ubunafsi wa nduguzo ndo unakufanya mawazo yako yadumae umebakiza kulalamika tu.endelea kijisitili na maumivu uyapate vizuri na ukome kusingizia wakristo wakati mmetuharibia nchi imekuwa ya majambazi na walalamishi kama wewe.
nimefurahi sana uliponyimwa kazi sababu hujajistiri .. No offense ..
Hizo ndizo propaganda za misamaha ya kodi kwa taasisi za dini wakati taasisi ya Kiislam kupata msamaha wa kodi hadi kijasho nchembamba kitoke, taasisi za kikristo hata kwa simu. Unafikiri hata hizo hospitali na shule chache za waislamu wamepewa ngapi. Wakristo walirudishiwa vyao, waislamu hawakurudishiwa wakaambiwa jengeni! what injustice! tunaseme sio jengeni, serikali iache kupeleka fedha kwenye taasisi hizo,ijenge hospitali zake tumechoka kutibiwa kwa gharama kubwa kutoka kwenye hospitali zenu zenye misalaba na masanamu kila kona, we are tired