moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
*Je wajua?*
*Pengine inaweza kukustua lakini huu ndio ukweli na uhalisia wa mambo:-*
*Chukua mwaka aliokufa Hayati J.K. Nyerere 1999 kisha toa na mwaka uliozaliwa wewe, halafu jumlisha na miaka 17 ya kifo chake jibu lake utapata umri wako sahihi*
*Na hapo ndipo utajua kumbe ni kweli alikuwa baba wa taifa*
*NB:*
*_Ukipata jibu tofauti na Umri wako basi wewe sio Raia halali wa Tanzania_*.
*#Kilajiwelitageuzwa!*
*Pengine inaweza kukustua lakini huu ndio ukweli na uhalisia wa mambo:-*
*Chukua mwaka aliokufa Hayati J.K. Nyerere 1999 kisha toa na mwaka uliozaliwa wewe, halafu jumlisha na miaka 17 ya kifo chake jibu lake utapata umri wako sahihi*
*Na hapo ndipo utajua kumbe ni kweli alikuwa baba wa taifa*
*NB:*
*_Ukipata jibu tofauti na Umri wako basi wewe sio Raia halali wa Tanzania_*.
*#Kilajiwelitageuzwa!*