johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Binafsi nampongeza Jaji Siyani kwa kutanguliza uzalendo na utaifa mbele huku akiutumia mwanya wa kisheria uliojitokeza.
Kesi ya Mbowe inaweza kumalizwa kwa namna nyingine yoyote bila kuathiri sifa za Ukomandoo.
Wakati mwingine tunapaswa kuwa waelewa zaidi.
Kesi za namna hii labda zinahitaji teknolojia ya Artificial Intelligence.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Kesi ya Mbowe inaweza kumalizwa kwa namna nyingine yoyote bila kuathiri sifa za Ukomandoo.
Wakati mwingine tunapaswa kuwa waelewa zaidi.
Kesi za namna hii labda zinahitaji teknolojia ya Artificial Intelligence.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!