Jaribuni kuwa na shukrani

Jaribuni kuwa na shukrani

Deportivo la coruna

Senior Member
Joined
Aug 16, 2021
Posts
141
Reaction score
248
Ipo hivi:

Tumedumu kwenye mahusiano kama mwaka hivi, imefikia muda sasa nataka kuoa halafu yeye dini tofauti na naona kuna mambo tunatofautiana sana, dini amekataa kubadilisha anataka nibadilishe mimi.

Sasa leo nimemwambia tu bora kila mtu atafute wa kufanana naye anaanza kudai eti nataka kiti na mapazia yangu niliyoyaacha kwako, yaani kiti na pazia moja anaona ni gharama kubwa kuliko pesa zangu nilizomlisha kumsomesha nakumlipia kodi kwa mwaka mmoja.

Kwanini wasichana wengi wa sasa hamna shukurani? Na mimi nikisema anilipe ataweza kweli?
 
Hivi thamani ya kitumbua ulichokuwa unakula unapotaka na pesa ulizokuwa unampa vinalingana?

Mama yake kakitunza kitumbua mpaka umekuja kukitumbua wewe... Sasa mpe mapazia yake tena mwongezee na mafweza juu😁😁 ili msahauliane na asinung'unike
 
Hivi thamani ya kitumbua ulichokuwa unakula unapotaka na pesa ulizokuwa unampa vinalingana?
Mama yake kakitunza kitumbua mpaka umekuja kukitumbua wewe... Sasa mpe mapazia yake tena mwongezee na mafweza juu[emoji16][emoji16] ili msahauliane na asinung'unike
Yule alietoa bikra ndio anatakiwa afanye hivyo
 
Hivi thamani ya kitumbua ulichokuwa unakula unapotaka na pesa ulizokuwa unampa vinalingana?
Mama yake kakitunza kitumbua mpaka umekuja kukitumbua wewe... Sasa mpe mapazia yake tena mwongezee na mafweza juu[emoji16][emoji16] ili msahauliane na asinung'unike
Hili ni tatizo kubwa sana..Kwa nn ktk mahusiano huwa mnafanya utamu ni wa upande mmoja nyie watu? Utasikia mwanamke umenichezeaa ndy unataka uniache!! Kwani wewe wakati tunafanya hukuwa unanichezea?

Mkuu mwache akachukue mapazia yake,lakini usihusishe kitumbua cha mwanamke ktk hili..hata yeye mleta mada mamaake kaitunza mashine ya mwanae vilevile Hadi huyo dada kaikuta ikiwa ktk ubora wake[emoji41]
 
Tenda wema uende zako... aina haja kupoteza muda kulumbana, kwani yale uliyomtendea uliyatenda kwa mapenzi yako kwake na hivyo mmeachana isiwe malumbano mpe tu ivyo vitu..Yanini kubeba kinyongo moyoni we safisha moyo wako maisha yaendelee
 
Anataka kuanza nayo maisha na mwanamke mwingine, hiyo ndiyo hataki dada ex.

Ila na wee kaka ex pazia na kiti umeanzisha thread??!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani[emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom