Deportivo la coruna
Senior Member
- Aug 16, 2021
- 141
- 248
Hivyo vyenyewe alinunua kwa pesa zanguSi umpe tu kiti chake na pazia lake!! Shida nini?
Hazikuwa zako ulipompa, zilikuwa zake. Hivyo alinunua kwa pesa zake.Hivyo vyenyewe alinunua kwa pesa zangu
😊😊Si umpe tu kiti chake na pazia lake!! Shida nini?
Nimpe vitu vyake, alivyonunua kwa pes yNgu niliyompa, akiliMpe vitu vyake
Mpe tu mkuu ili asikusumbue sana hawanaga shukrani hao alafu mchumba hasomeshwi mkuu
Yule alietoa bikra ndio anatakiwa afanye hivyoHivi thamani ya kitumbua ulichokuwa unakula unapotaka na pesa ulizokuwa unampa vinalingana?
Mama yake kakitunza kitumbua mpaka umekuja kukitumbua wewe... Sasa mpe mapazia yake tena mwongezee na mafweza juu[emoji16][emoji16] ili msahauliane na asinung'unike
Hili ni tatizo kubwa sana..Kwa nn ktk mahusiano huwa mnafanya utamu ni wa upande mmoja nyie watu? Utasikia mwanamke umenichezeaa ndy unataka uniache!! Kwani wewe wakati tunafanya hukuwa unanichezea?Hivi thamani ya kitumbua ulichokuwa unakula unapotaka na pesa ulizokuwa unampa vinalingana?
Mama yake kakitunza kitumbua mpaka umekuja kukitumbua wewe... Sasa mpe mapazia yake tena mwongezee na mafweza juu[emoji16][emoji16] ili msahauliane na asinung'unike
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anataka kuanza nayo maisha na mwanamke mwingine, hiyo ndiyo hataki dada ex.
Ila na wee kaka ex pazia na kiti umeanzisha thread??!