Jaribuni kuwa na shukrani

Mwanaume wa kweli habishana na MWANAMKE anampatia anachotaka anasepa[emoji4][emoji4][emoji1787][emoji1787]
 
Hapo kwenye kumsomesha ulisahau ile kauli ya mchumba hasomeshwi? Anyway ukimpatia hilo pazia na kiti utapungukiwa nini?
 
Kusomesha toto la mtu umekua mzazi wake? Ama SIFA tu
 
Watu wanaachia wanawake Nyumba na vilivyomo ndani sembuse mapazia?
Yaani umetudhalilisha sana dogo.
Wewe muachie kwanza mapazia yenyewe yatakuwa yamechuja hayo.
 
Anataka mgawane mali kwan mna ndoa?alale mbele hukoo.,bora umeanza kujua litabia mbaya lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…