Jasho makalioni

OCC Doctors

Senior Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
113
Reaction score
172
[Hyperhidrosis] Mara nyingi huwa ni jasho inayotoka kwenye viganja vya mikono, unyayo wa miguu, sehemu za kwapani, na sehemu za makalioni [haswa kwa wanaume] hii hutokana na tezi zinazozalisha jasho kufanya kazi kupita kiasi. Lakini hali ya kutokwa na jasho kwenye mikono na miguu pekee hii hufahamika kama [palmoplantar hyperhidrosis] ni jasho kutoka kwa wingi kwenye viganja vya mikono na vikanyagio vya miguu, Sababu kubwa huwa ni unene uliopindukia [obesity], au ugonjwa wa [gout], au kuelekea kukoma kwa hedhi [menopause], pia huwa ni moja ya dalili ya mwili kuwa na sumu, au ishara ya kisukari, [diabetes mellitus], na vilevile huwa ni ishara ya mvurugiko wa vichocheo mwilini [hormonal imbalance-overactive thyroid gland).

 
Mkuu nilijua umekumbwa Na hilo tatizo nikataka kukushauli utumie vifungashio vya rambo kukunusuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…