Elections 2015 Jasusi Colonel Apson Mwang'onda atua Dodoma

Mmeandikiwa kweli ccm kazi IPO naona Wa pili huu mada kila kitu kinafanana
 

Wewe ni unajua siasa za nchi hii..asante sana ..Nchimbi ndiye mpishi wa kila kitu wengine wanapiga makelele tu..njoo PM kuna jambo nikuambie
 
A posibility.
 

Umeshamaliza kutumika kama condom? Tulia upelekwe kwenye dampo la taka
 


wewe jamaa hii kitu umeitoa wapi?
 
Ila mleta mada nimegundua ww ni timu fulani haiwezekani tangu asbh unaongelea kuhusu Lowasa tu......c usubiri vikao vya maamuzi vya ccm viamue then tujue nani kapitishwa na ni nani hajapitishwa

Siyo lizaboni kaja kivingine/
 
Bila shaka hilo jasusi kwa sasa limeshazeeka sana. Litakuwa above 90 years, labda kama idadi ya marais hao liliowaingiza madarakani wanaanzia kwenye awamu ya tatu.
 
Nimeipenda hakika.
 
Aiseee kuna watu waongo hadi shetani anaogopa
 
Bila shaka hilo jasusi kwa sasa limeshazeeka sana. Litakuwa above 90 years, labda kama idadi ya marais hao liliowaingiza madarakani wanaanzia kwenye awamu ya tatu.

Ukiambiwa ukweli jifunze kuukubali hata kama wakati mwingine unauma
 
rajabs

Ni kosa kubwa kumlisha mtu maneno maovu kwa lengo la kumchafua au kupandikiza chuki,nikweli hata mm sipendi lowassa apite hata tano bora but chunga mdomo wako kumnukuu mtu tena maneno ya UONGO kwa jina lake itakuletea shida..narudia italuletea shida
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…